Vifo vya upasuaji wa kuongeza makalio vyaongezeka Uturuki

Sisi ni jalala lao.

Wakianza kuanguka ndo akilii zitakaa wima
 
Utafiti wangu unaonyesha kwamba wenye flat wana akili kuliko waliobeba mizigo minene.

Yaani kadiri ya ukubwa wa mzigo basi grafu ya akili inashuka
Tatizo wenye tako wakishayabinua na kuyapost kwenye mitandao ya kijamii wanavyopata likes na comments za kusifiwa wanaona wameshamaliza maisha ujinga unaanzia hapo

Hata hivyo tako acha liitwe tako lina vibe yake kwenye mzagamuo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…