Mloganzila wanasemajeAgosti 2020 mama mmoja wa watoto watatu alifarki baada ya kufanyiwa upasuaji wa wa kurekebisha mwili nchini Uturuki na hapo awali BBC iliripoti jinsi wagonjwa saba wa Uingereza walivyofariki baada ya upasuaji wa kupunguza uzito katika nchi hiyo.
Wewe ni presentable pakushika pako safi.[emoji23][emoji23]
Mloganzila wanasemaje
Hahahaa. Ha! Mbona Dejane umekamia sana. Mi naimba wimbo Harmonize[emoji23][emoji23]π«’ ttwende kule selfika ukarushe nione demu wako ole wako urushe wa google
a.k.a. mizigo by shekhe kipozeo voice[emoji30]Sema ukurasa wa makalio umedumu mda mrefu sio kama kurasa nyingine za mwanya, lips nene, miguu ya bia, hips, dimpoz,.makalio.....makalio....makalio....makalio, makalio sijui kama yatapata mpinzani
Mzigo umedumu sana sokoni sioni dalili ya kuondokaa.k.a. mizigo by shekhe kipozeo voice[emoji30]
TwendeeeeHahahaa. Ha! Mbona Dejane umekamia sana. Mi naimba wimbo Harmonize[emoji23][emoji23]
Unapewa attention tu lkn ni ya ovyo sana ile mijitu. Kama hajiweki vzr yana jasho. In fact. Not my favourite[emoji114]Mzigo umedumu sana sokoni sioni dalili ya kuondoka
Ngoja nikachungulie maana waweka edited na google fotoTwendeeee
Acha wapasuliwe na wafe kabisa
Serikali ya Uingereza imesema itakutana na maafisa nchini Uturuki kujadili kanuni kuhusu utalii wa kimatibabu na urembo, baada ya vifo kadhaa kutokea.
Melissa Kerr, 31, alifariki dunia katika Hospitali binafsi ya Medicana Haznedar mjini Istanbul 2019 wakati wa upasuaji wa kuongeza makalio, BBL.
Uchunguzi wa maiti Uliibua wasiwasi kuwa ni kwasababu yeye na wengine hawakupewa taarifa za kutosha kabla ya kusafiri nje ya nchi na kuhusu upasuaji huo.
Agosti 2020 mama mmoja wa watoto watatu alifarki baada ya kufanyiwa upasuaji wa wa kurekebisha mwili nchini Uturuki na hapo awali BBC iliripoti jinsi wagonjwa saba wa Uingereza walivyofariki baada ya upasuaji wa kupunguza uzito katika nchi hiyo.
Uingereza imekubali kusitishwa kwa upasuaji wa aina hiyo kutokana na hatari zinazohusika.
"Maafisa wa Idara ya Afya watatembelea Uturuki hivi karibuni kukutana na wenzao". alisema Waziri wa afya.
Mlongazila, CCBRT zimejipanga vizuri kwenye hili?
BBC Swahili
πππππWaje Mlonganzila kwa Madaktari Wabobevu hawatajuta.
Ni kubalansi tuUtafiti wangu unaonyesha kwamba wenye flat wana akili kuliko waliobeba mizigo minene.
Yaani kadiri ya ukubwa wa mzigo basi grafu ya akili inashuka
We utakua unakutana tu na mitrako ya kina mwantumu, kuna sexy butt za hatari....majuzi nipo njiani na Mr akapita dada mmoja ana takko zuri, kila mtu ilikua macho kwake ikabidi nimshtue Mr nae alicheki khaaaa yule binti hatariUnapewa attention tu lkn ni ya ovyo sana ile mijitu. Kama hajiweki vzr yana jasho. In fact. Not my favourite[emoji114]
Wee ni mke material. Huna baya[emoji23][emoji23]We utakua unakutana tu na mitrako ya kina mwantumu, kuna sexy butt za hatari....majuzi nipo njiani na Mr akapita dada mmoja ana takko zuri, kila mtu ilikua macho kwake ikabidi nimshtue Mr nae alicheki khaaaa yule binti hatari
We utakua unakutana tu na mitrako ya kina mwantumu, kuna sexy butt za hatari....majuzi nipo njiani na Mr akapita dada mmoja ana takko zuri, kila mtu ilikua macho kwake ikabidi nimshtue Mr nae alicheki khaaaa yule binti hatari