Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Na bar za kutosha , hahahahahahaha
 
Duh ebana kama ni huyo , yuko wwapi siku hizi, tuliamini kabisa eti kachomwa sindano ili arefuke, aisee, nilikua nikimuona basi I felt sorry for him nilikua na ona baba yake atakua katili sana kuchoma sindano ili arefuke, nikiamini atakua tall kiasi cha kuja tisha watu hahahahahah
 
😂😂😂 we ulikua na pepo la ngono tu toka mdogo wala hakuna kingine apo....
 
Huyu nadhani kipindi hicho alikua kaisha zamia Meli , yule hakulelewa kwa Baba yake so hakuwa mmoja ya circle za wana Obay, mimi nime kuja mjua ukubwani akiwa NYC na kelele zake hahahahhahahaha
🤣🤣🤣 boma liwanza
 
Kina K-Lynn nilikuwa siwajui ina nadhani Sister wake nilikua namuona kwnye Parties za Mwanguku , kama kawaida yangu na shoboka na mademu wakubwa, nilikua namuona demu mkali kinoma, Siku mmoja mshkaji wangu akaniambia , ebana kuna demu mkali kinoma na anaongea naye ,demu wanapiga naye story kwnye simu, amaniambia yuko na ye coco, basi hata sisi tulikua na gari moja la Ukweli ( Sisemi ni lipi) basi nikaenda kumfuata , ebanakuja mkuta nili pigwa butwa demu mkali kinoma kuja kukuta huyo demu ni K-Lynn , alikua mkali zaidi ya alipo kuwa Miss, Jamaa wazushi wakaanza mtisha ooh hutamuweza huyo demu mkali ata chukuliwa na watu, basi jamaa , tukawa tunamfuata K-Lynn Forodhani shuleni , wakati huo nina gari ya maana (ya baba) , ujiko watoto wote wanatutolea macho ,ila jamaa naye akawa domo zege , akamuogope eti wajanja wata mpiku basi haku endelea tukasikaa Victor Mollel ndio ana mfukuzia , sijui kama ali mpata au viipi , Kidogo ukatokea Msiba kwao , ikabidi kwenda mpa pole, baada ya hapo siku msikia tena , Mara ya mwisho niko Mambo Club, naona demu mkali ila ana nywele fupi ( mtoto anajua zana kupiga viwalo) ana dance , kumcheki kumbe ni K-Lynn , duh nika jisogeza msalimia hapo maana alikau kama Shemeji fulani , ingawa hakutoka na mshkaji , basi mimi week hiyo ndio nikaondoka Bongo, sikujua kinacho endelea Mpaka nakuja sikia Kashinda Miss TZ nika sema wow well deserved mtoto mkali kinoma .
 
😂😂😂 we ulikua na pepo la ngono tu toka mdogo wala hakuna kingine apo....
Aisee, sielewi kwanini aisee ina wezekana ni pepo hahahaha , maana sija wahi kuwa na crush na mademu wa rika langu kabisa, yani hakuna demu ambaye nilisoma naye aliye kuwa my childhood crush hata mmoa ila wote ni walikua wakubwa kwangu yani demu walio hang na Kaka zangu ndio hao nilikua na wazimia, hahahahaha
 
Aisee kweli hakuna jipya chini ya jua[emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji23] mkuu wewe ni Rizi moko bhana usituchoshe
 
Asante sana
Haya ngoja niunogeshe uzi wako na kapicha na matukio

Unaona sasa kujichanganya na mashuwa anakuitia mgahawa fulani
Kwa breakfast meeting,unapiga kapuchino huku mziki wa jazz au rock n roll fulani,sjui Country unaisikia kwa mbali
Syo mnaenda sjui shyshy kitambaa cheupe nk eti unaenda for meeting hapo na mtu mnaongelea biashara
Mikelele sjui singeli bongo fleva
Hata hamsikilizani [emoji1]
Hapo kuna picha junction ya kilimanyege nmemuwekea mwanangu
Kiranga inaonekana hapo kafanya sana vurugu na magari


Ova
 
"Ipi Malecela straight from London" 🤣🤣🤣🤣

"Lemutuz super brand with American spirit '

Daha hizi damu za mzee Malecela dah wapumzike kwa amani.
Huyo LemuTuz kaja julikana juzijuzi hatukukua naye kabisa wala tulikua hatumjui , hakuwa miongozi mwa zile circles ,Ippy ndio alikua .
 
Hahahahahaha naona uko kwa restourant za ukweli ,huwezi mkuta wa Obay Kitambaa cheupe wala Coco beach ya sasa , mimi nikitaka privacy huwa naenda Coco, huku ni waswazi tuu hakuna anaye kujua , hukutu mtu yoyote akaja kukusalimia , una kuwa free,hahahahahahaahaa
 
Mazungumzo ya faragha
Watu mnakaa mnasikilizana
Syo unakaa sehemu sjui kuna mtu
Anacheza juu ya meza singeli
Yaani vurugu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…