mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
You are very wise man! Ifike wakati mtu akiishi maisha yake hii mentality ya kumuita fisadi iishe. Haipendezi.!Hapana baba zetu waliishi kipindi cha utiifu wa Nyerere ufisadi ulikua ni kwa kiwango cha chini sana.