Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Wada kama kina mrangi wananikumbusha jamaa mmoja tuliishi nae sinza aliitwa KASITU ZUMBA/ SEVERIN ZUMBA yeye hakuwa wa kishua kwao ila ni mtu wa kujichanganya na watoto wa kishua hatarree mara leo upanga, masaki, oysterbay,mikocheni Kampani moja na BOSCO MAKUNDI, VICENT KIHAMPA [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wada kama kina mrangi wananikumbusha jamaa mmoja tuliishi nae sinza aliitwa KASITU ZUMBA/ SEVERIN ZUMBA yeye hakuwa wa kishua kwao ila ni mtu wa kujichanganya na watoto wa kishua hatarree mara leo upanga, masaki, oysterbay,mikocheni Kampani moja na BOSCO MAKUNDI, VICENT KIHAMPA [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiacha hawa wasanii wa Kwanza UNit ( wale wa Ushuani)kipindi kile, msani waBongo flava ambaye niliona ana jichanganya na wa Ushuaniwa kwanzakwanza ni TID.
 
Mkuu naona unazunguka sana, kurahisisha kazi ww nitumie namba zako PM then nimpatie atakuchek mwenyewe coz siku hizi watu wana hama hama, ninaweza kukupa Address za anapoishi then siku mbili tatu akahama
Aisee , itabidi ni ane kupiga akili ni weze wasiliana naye kw anumber bila yeye kujua ni mimi ninaye chata hapa, wazo lako zurisana , nalifanyia kazi ni kupatie number , halafu nita jua nita onana naye vipi. asante sna hahahahaha
 
Ukiacha hawa wasanii wa Kwanza UNit ( wale wa Ushuani)kipindi kile, msani waBongo flava ambaye niliona ana jichanganya na wa Ushuaniwa kwanzakwanza ni TID.
TID SI ALISOMA SHABAN ROBERT

alafu mitaa yetu stereo mixer ushuwa mixer uswaz ilikuwa

Kwa kinondoni stereo ni top utulivu ustarabu kdg upo

Ova
 
Wada kama kina mrangi wananikumbusha jamaa mmoja tuliishi nae sinza aliitwa KASITU ZUMBA/ SEVERIN ZUMBA yeye hakuwa wa kishua kwao ila ni mtu wa kujichanganya na watoto wa kishua hatarree mara leo upanga, masaki, oysterbay,mikocheni Kampani moja na BOSCO MAKUNDI, VICENT KIHAMPA [emoji23][emoji23][emoji23]
Sinza unampata smbdy fish

Ova
 
Sinza unampata smbdy fish

Ova

Mmhh kumbukumbu zangu ananijia mtu aliyekuwa akiitwa SALU MAFISH (r.i.p) huyu alikuwa akituuzia wale samaki wa kuweka urembo sebuleni, vip unawajua kina ayoub mkobo (vandame),msafiri mkobo,pati mapanga(r.i .p),husen bilida, denis kinyani,abdala na abeid na simba kumekucha,
 
TID SI ALISOMA SHABAN ROBERT

alafu mitaa yetu stereo mixer ushuwa mixer uswaz ilikuwa

Kwa kinondoni stereo ni top utulivu ustarabu kdg upo

Ova
Nilikua namuona sana enzi hizo KIwanja ilikuwa Mediteranin na sehemu zingine za kishua
 
Huu uzi ukiusoma kwa haraka haraka na chuki zakiwaki waweza dhani ndani yake kuna majigambo ya watoto wa kishua kutambiana maisha ila kwa jicho pana sana una madini ya kutosha , mafunzo. Big up sana ziende kwa winga winga Kiranga mrangi Kalpana Nyani Ngabu
Asante sana kwa kutambua hilo ndio maana nakuita Akili kubwa.
 
Mmhh kumbukumbu zangu ananijia mtu aliyekuwa akiitwa SALU MAFISH (r.i.p) huyu alikuwa akituuzia wale samaki wa kuweka urembo sebuleni, vip unawajua kina ayoub mkobo (vandame),msafiri mkobo,pati mapanga(r.i .p),husen bilida, denis kinyani,abdala na abeid na simba kumekucha,
Salum namjuwa kuna wakati alikuwa brazil,rio nlionana naye huko
Alifia huko
Duh wana wote nawapata hapo
Yah kitambo alikuwaxanafanya biashara kuuza samaki ....tushaiba naye sana samaki [emoji1]

Ova
 
Nilikua namuona sana enzi hizo KIwanja ilikuwa Mediteranin na sehemu zingine za kishua
Masaki,obay sahv sehemu za massage parlour za kumwaga [emoji1]

Ova
20230712_101644.jpg
 
Salum namjuwa kuna wakati alikuwa brazil,rio nlionana naye huko
Alifia huko
Duh wana wote nawapata hapo
Yah kitambo alikuwaxanafanya biashara kuuza samaki ....tushaiba naye sana samaki [emoji1]

Ova

Mkuu wewe ni mini-google wa mastori yooote ya town aisee nimeshangaa kuwa unawajua hao wana,bila shaka unamjua jamaa fulani aliyekuwa akiitwa COOL 9 (r.i.p)alikuwa ni ngumi jiwe mtemi haswaaa hata akina mkobo wameiga usela mavi kwake,alikuwa akiishi ubungo .nafkiri kuna mdau aliwahi kumuanzishia uzi humu
 
Mkuu wewe ni mini-google wa mastori yooote ya town aisee nimeshangaa kuwa unawajua hao wana,bila shaka unamjua jamaa fulani aliyekuwa akiitwa COOL 9 (r.i.p)alikuwa ni ngumi jiwe mtemi haswaaa hata akina mkobo wameiga usela mavi kwake,alikuwa akiishi ubungo .nafkiri kuna mdau aliwahi kumuanzishia uzi humu
Hahaha sinza nna wana wengi sana

Kwa kina fish si ule mtaa wa wanyama hotel .... hadi yule mama wa qeen of sheba alikuwa swahiba wangu sana

Sinza ilikuwa tukionekana tu basi watu wanajuwa kuna dili limeletwa

Ova
 
Hii sehemu ina haribu sana mandhari
Ya masaki hapo utafikiri kuko uswaz
Hebu mamlaka wapafanyie jambo

Ova
View attachment 2685959
KUna siku nilikuwa Masaki, dogo mmoja akaniambia nakuja niko Manzese, baada ya dakika mbili akawa amefika nikashangaa , how ume fika fasta hivi wakati ulikua Manzese, kuja gundua kumeb kuna sehemuw anaita Manzese hapo Masaki dah .l.
 
Back
Top Bottom