Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Ninakumbuka jinaBay Villa , ila sikumbuki ilikua wapi , ni Msasani Peninsular ama wapi? Kawe Club nadhani labdailikau kipindi cha zile Beach Picnicks, ila nakumbuka nyingi zilikua Msasani Beach club , Tazara Club , pia nakumbuka jina , hivi ilikua ni Chang'ombe ama wapi ?
Tazara club ilikuwa ni nyuma ya leaders club. Nowadays kuna apartments za NSSF.
 
Tazara club ilikuwa ni nyuma ya leaders club. Nowadays kuna apartments za NSSF.
Nimeikumbuka Tazara Club , yes hapo si walikua wana piga zile Mayenu , nilikuwa si pendi hapo sababu sikuwa mpenzi wa hizo nyimbo, nakumbuka kipindi hicho Clouds walisha funga 7th floor na wakafungua sehemu mtaa wa Samora ave kitu kama Twiga hotel, kukawa padogo na kuna joto hatari, baada napo wakafunga , ikawa hakuna tena sehemu ya sisi wapenzi wa r&b/HipHop, ikawa sehemu ni Tazara club tuu ( ila nilidhani Tazara ni part ya Leaders Club ) ambako ni Mayenu tuu , nilikuwa na kwenda hapo basi tuu ila nilikua si enjoy the music kabisa. Bahati nzuri nadhani ndio Clouds wakaja fungua LaDoce Vita angalau kwa muda tuka enjoy wapenzi wa r&b/HipHop.
 
Nimeikumbuka Tazara Club , yes hapo si walikua wana piga zile Mayenu , nilikuwa si pendi hapo sababu sikuwa mpenzi wa hizo nyimbo, nakumbuka kipindi hicho Clouds walisha funga 7th floor na wakafungua sehemu mtaa wa Samora ave kitu kama Twiga hotel, kukawa padogo na kuna joto hatari, baada napo wakafunga , ikawa hakuna tena sehemu ya sisi wapenzi wa r&b/HipHop, ikawa sehemu ni Tazara club tuu ( ila nilidhani Tazara ni part ya Leaders Club ) ambako ni Mayenu tuu , nilikuwa na kwenda hapo basi tuu ila nilikua si enjoy the music kabisa. Bahati nzuri nadhani ndio Clouds wakaja fungua LaDoce Vita angalau kwa muda tuka enjoy wapenzi wa r&b/HipHop.
Mbali sana bro. Pick ups etc etc zilitumika kutusafirusha. Nadiriki kusema tulienjoy kula bata kunogesha kipindi hicho👉🍺🍻🥂🍾🍷🥃🍸🍹
 
Mbali sana bro. Pick ups etc etc zilitumika kutusafirusha. Nadiriki kusema tulienjoy kula bata kunogesha kipindi hicho👉🍺🍻🥂🍾🍷🥃🍸🍹
Kweli kabisa, kabla ya kwendda Ulaya and America, nilikua nina Wish ninge zaliw aUlaya au bba aynge angekua balozi Ulaya or America, ila baada ya kufika America nakuona watoto wa age zetu wanavyo ishi nikasema sijutiii kuzaliwa na kukulia Bongo nikiwa a teenager , bata zilikua za maana hahahahahahhaha
 
Mkuu una roho safi sana.

Ukiwa na kijiba cha roho unajiumiza mwenyewe tu.

Kitu muhimu ni kufanya kazi kuboresha hali yako, kutengeneza mazingira mazuri kwa watoto na wanaokufuatia, na ukishindwa kabisa ukubali hali yako kwa roho safi bila kujisikia unyonge, maisha ni zaidi ya nafasi katika jamii na utajiri.

Shaaban Robert hakuwa mtoto wa Oysterbay lakini kuna watoto wa Oysterbay kibao wamesoma katika shule iliyopewa jina lake.

Kwa nini? Alikuwa na mchango mkubwa katika literature ya Kiswahili kwa namna ambayo hakuna mtoto wa Oysterbay aliyefikia.

Labda unaweza kusema huyo wa zamani sana.

Diamond Platnumz hajasoma sana, hata Kiingereza hajui vizuri, lakini hakujisikia unyonge, kajikubali, kajiongeza, leo hakuna mtoto wa Oysterbay anayejulikana dunia nzima kama Diamond Platnumz, mtoto wa Tandale sijui Mbagala huko LeMutuz alikuwa anapaita maswekeni.

Rapper Rakim aliwahi kusema "It's not where you're from, it's where you're at".

Hapa tunapiga stories tu kukumbushana tulivyokua, majirani, kukumbuka waliotangulia mbele kwa kifo, mpaka majirani walioishi next door wanajuana, hatuna nia ya kumfanya mtu mwingine ajisikie mdogo na sisi tuliokulia Oysterbay kuwa zaidi.

Kwa kiasi kikubwa nafasi za kukulia huko zimekuja na bahati fulani, ambayo mtu yeyote angeweza kuipata, na wengine baba zetu wamezipata, ingawa na wao walipozipata hizo bahati wengi wao hawakuzilazia damu, hawakuogopa umande.

Mfano huyo Malecela aliyekuwa Waziri Mkuu wakoloni walikuja kwa Chifu Mazengo kutaka kuwasomesha watoto wa Chifu Mazengo, Chifu Mazengo akakataa watoto wake kusomeshwa na wakoloni.

Wakoloni wakaenda pembeni kwa baba yake Malecela kumuomba wasomeshe watoto wake, ndiyo John Malecela na Job Lusinde wakapata nafasi kusoma.

Ina maana yule Chief Mazengo angekubali watoto wake wasomeshwe na wakoloni, leo labda huyo Malecela tusingemjua.

Na huko ndiko Watanzania karibu wote tumetoka, ukichunguza hata kama familia ina wasomi sana utakuta kuna sehemu huko nyuma kulikuwa na pure chance event imewapa the edge.

So, mara nyingine ni vijimambo vya maisha tu vinatoa nafasi, si kwamba watu wanatamba kwamba wana uwezo zaidi.
We jamaa una maarifa na uelewa mpana sana wa mambo, amini maandishi yako unayoandika hapa kuna watu tunasoma na kujifunza sana.
 
Nani anaikumbuka Mambo Club?

Kipindi hicho ilikuwa inamilikiwa na mdogo wake na Le Mutuz, marehemu Ippy.

Siku hizi kuna klabu ingine hapo ambayo ni dada poa central.

Kuna siku nilienda just out of curiosity…..sijarudi tena maana nilikuwa kama samaki kwenye nchi kavu.
Mkuu Nyani Ngabu toa location aisee
 
Rasta kama Baba T. Baba T ( R. I. P) hakuwa rika letu. Ni mtu mzima sana. Alikuja TZ zamani sana, hakuwa mmoja wa vijana wa Obey
Nimemshangaa sana kusema eti Baba T alimaanisha Afande Sele, pengine hata hamjui Baba T na heshima aliyonayo kuanzia kwa ma rasta mpaka watunza wasingi
 
Mkuu una roho safi sana.

Ukiwa na kijiba cha roho unajiumiza mwenyewe tu.

Kitu muhimu ni kufanya kazi kuboresha hali yako, kutengeneza mazingira mazuri kwa watoto na wanaokufuatia, na ukishindwa kabisa ukubali hali yako kwa roho safi bila kujisikia unyonge, maisha ni zaidi ya nafasi katika jamii na utajiri.

Shaaban Robert hakuwa mtoto wa Oysterbay lakini kuna watoto wa Oysterbay kibao wamesoma katika shule iliyopewa jina lake.

Kwa nini? Alikuwa na mchango mkubwa katika literature ya Kiswahili kwa namna ambayo hakuna mtoto wa Oysterbay aliyefikia.

Labda unaweza kusema huyo wa zamani sana.

Diamond Platnumz hajasoma sana, hata Kiingereza hajui vizuri, lakini hakujisikia unyonge, kajikubali, kajiongeza, leo hakuna mtoto wa Oysterbay anayejulikana dunia nzima kama Diamond Platnumz, mtoto wa Tandale sijui Mbagala huko LeMutuz alikuwa anapaita maswekeni.

Rapper Rakim aliwahi kusema "It's not where you're from, it's where you're at".

Hapa tunapiga stories tu kukumbushana tulivyokua, majirani, kukumbuka waliotangulia mbele kwa kifo, mpaka majirani walioishi next door wanajuana, hatuna nia ya kumfanya mtu mwingine ajisikie mdogo na sisi tuliokulia Oysterbay kuwa zaidi.

Kwa kiasi kikubwa nafasi za kukulia huko zimekuja na bahati fulani, ambayo mtu yeyote angeweza kuipata, na wengine baba zetu wamezipata, ingawa na wao walipozipata hizo bahati wengi wao hawakuzilazia damu, hawakuogopa umande.

Mfano huyo Malecela aliyekuwa Waziri Mkuu wakoloni walikuja kwa Chifu Mazengo kutaka kuwasomesha watoto wa Chifu Mazengo, Chifu Mazengo akakataa watoto wake kusomeshwa na wakoloni.

Wakoloni wakaenda pembeni kwa baba yake Malecela kumuomba wasomeshe watoto wake, ndiyo John Malecela na Job Lusinde wakapata nafasi kusoma.

Ina maana yule Chief Mazengo angekubali watoto wake wasomeshwe na wakoloni, leo labda huyo Malecela tusingemjua.

Na huko ndiko Watanzania karibu wote tumetoka, ukichunguza hata kama familia ina wasomi sana utakuta kuna sehemu huko nyuma kulikuwa na pure chance event imewapa the edge.

So, mara nyingine ni vijimambo vya maisha tu vinatoa nafasi, si kwamba watu wanatamba kwamba wana uwezo zaidi.
That's my G[emoji106][emoji1666]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Jama nauliza pia , kuna demu mmoja alikua ana kaa pale wa Mzee Shaba, sina uhakika alikua ni mjukuu au mwanae, nilikuwa nina mzimia kinoma, ila alihama shule ,sijui ali hamia wapi ,kitu kama ali hamia South Africa or Namibia , sina uhakika kama ni yeye aliye hamia South Africa or Namibia sababu kipindi chao shuleni Obay kulikua kuna demu mwingine ali hamia South walikua darasa moja , Baba wa huyo demu alikua ni a South African or Namibian , sasa sijui kama namchanganya na huyu , alikua anaitwa Bongi, nani anafahamu alipo sasa? kitu kama aliitwa Bongi Ulimwenu or Bingi Shaba.
 
Jama nauliza pia , kuna demu mmoja alikua ana kaa pale wa Mzee Shaba, sina uhakika alikua ni mjukuu au mwanae, nilikuwa nina mzimia kinoma, ila alihama shule ,sijui ali hamia wapi ,kitu kama ali hamia South Africa or Namibia , sina uhakika kama ni yeye aliye hamia South Africa or Namibia sababu kipindi chao shuleni Obay kulikua kuna demu mwingine ali hamia South walikua darasa moja , Baba wa huyo demu alikua ni a South African or Namibian , sasa sijui kama namchanganya na huyu , alikua anaitwa Bongi, nani anafahamu alipo sasa? kitu kama aliitwa Bongi Ulimwenu or Bingi Shaba.
Mkuu ww kila Demu ulikuwa unamzimia kweli ndege wafananao huruka pamoja maana Mapinduzi nae hakuwa mchache, by the way Salam zako nilizifikisha kwa crush wako Judy juzi nilikuwa kwao Mwenge, alitamani kukujua unfortunately humu tuna fake I'd ilibidi nimuache kwenye mataa
 
Jama nauliza pia , kuna demu mmoja alikua ana kaa pale wa Mzee Shaba, sina uhakika alikua ni mjukuu au mwanae, nilikuwa nina mzimia kinoma, ila alihama shule ,sijui ali hamia wapi ,kitu kama ali hamia South Africa or Namibia , sina uhakika kama ni yeye aliye hamia South Africa or Namibia sababu kipindi chao shuleni Obay kulikua kuna demu mwingine ali hamia South walikua darasa moja , Baba wa huyo demu alikua ni a South African or Namibian , sasa sijui kama namchanganya na huyu , alikua anaitwa Bongi, nani anafahamu alipo sasa? kitu kama aliitwa Bongi Ulimwenu or Bingi Shaba.
Kavideo kadogo

Ova
 
Mkuu ww kila Demu ulikuwa unamzimia kweli ndege wafananao huruka pamoja maana Mapinduzi nae hakuwa mchache, by the way Salam zako nilizifikisha kwa crush wako Judy juzi nilikuwa kwao Mwenge, alitamani kukujua unfortunately humu tuna fake I'd ilibidi nimuache kwenye mataa
Kweli dah, nilikua napanga kichwani kwamba fulani lazima aje kuwa demu wangu , hahahaha .Dah nime furahi sana kusikia umenifikishia , habari, angalau my crush kajua kulikua na kajamaa akana minde kinoma noma, sasa cha kufanya ni utanipa maelezo ya anapo ishi , (ila usije hofu mimi sio a psycho stalker ) ili nimtafute kijanja , unajua tena hiz ID za humu haikawii watu waka nijua mimi ni nani , inabidi niende kijanja ili asije stukia ni mimi , ila nataka sana nimuone na niongee naye hahahahahahaa.Nashukuru sana kw akumpa salamu zangu ,My Juddy .
 
Kweli dah, nilikua napanga kichwani kwamba fulani lazima aje kuwa demu wangu , hahahaha .Dah nime furahi sana kusikia umenifikishia , habari, angalau my crush kajua kulikua na kajamaa akana minde kinoma noma, sasa cha kufanya ni utanipa maelezo ya anapo ishi , (ila usije hofu mimi sio a psycho stalker ) ili nimtafute kijanja , unajua tena hiz ID za humu haikawii watu waka nijua mimi ni nani , inabidi niende kijanja ili asije stukia ni mimi , ila nataka sana nimuone na niongee naye hahahahahahaa.Nashukuru sana kw akumpa salamu zangu ,My Juddy .
Mkuu naona unazunguka sana, kurahisisha kazi ww nitumie namba zako PM then nimpatie atakuchek mwenyewe coz siku hizi watu wana hama hama, ninaweza kukupa Address za anapoishi then siku mbili tatu akahama
 
Back
Top Bottom