Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Pia wazungumzie na vijana waliokufa ktm miaka hiyo wanaotokea maeneo ya Mbagala Kiburugwa, Manzese, Tandika, kwa Mparange, Mabibo, Tabata dampo, Chanika, Mvuti na maeneo mengine ya uswahilini.
Mkuu enzi hizo za miaka ya 80 mvuti na chanika siyo mapori makubwa kweli?
 
Niko pande zako napuyanga
Mtaa wa urambo
Kiranga

Ova
 

Attachments

  • 20230906_175215.jpg
    1.1 MB · Views: 3
Huu uzi mzuri sana, umenikumbusha na ule wa Mshana Jr wa Mwananyamala, nadhani toka nijiunge JF hakuna uzi nimewahi kucheka kama ule aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…