johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mzee Mbata wa Lugalo?Kweli bana daaah! Mzee Mbata hatunae aiseee! Naambiwa wiki iliyopita tu hapa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee Mbata wa Lugalo?Kweli bana daaah! Mzee Mbata hatunae aiseee! Naambiwa wiki iliyopita tu hapa!
Kwako wewe mtu maarufu ni mpaka awe na cheo cha kisiasa? Umaarufu ni matendo ya mtu na si cheo chake. Joti siyo maarufu? Kwa hapa Iringa hao ni watu maarufu kwa kuwa wanafahamika na watu wengi.
Mimi nilisoma naye darasa moja na nyumbani alikuwa anakuja pia Mara nyingi tulienda wote sokoni kwa mama yake alikuwa anafanya biashara ya ndizi.Jamaa nilikuwa namuona mtu wa dilidili pale mjini japo alikuwa na utulivu fulani!
Kabla ya kuwa mchezaji wa timu ya "Maiti kindege"?Mimi nilisoma naye darasa moja na nyumbani alikuwa anakuja pia Mara nyingi tulienda wote sokoni kwa mama yake alikuwa anafanya biashara ya ndizi.
Kwa takribani siku kumi zilizopita vimetokea mfululizo vifo kadhaa vya watu maarufu hapa Iringa hadi kuzusha maswali mengi sana.
Inawezekana Mungu ameamua kuchukua watu maarufu wanaofahamika hapa Iringa ili kuleta watu wengine maarufu wa kizazi hiki. Lakini inafikirisha sana!!
Zuzu wewe chizi we, hao wanaotangaza wameepuka au kupunguza corona? Nini faida ya kutangaza?Kuna taifa fulani la kiimla hapa Afrika mashariki limeamua kuficha vifo vya Corona na wananchi wake wakaamua kukaa kimya kama mazuzu ila nawahakikishia gharama yake ni kubwa
Ndio kabla ya hapo.Kabla ya kuwa mchezaji wa timu ya "Maiti kindege"?
Mzee mbata mkimbiza magari?R.I.P mzee mbata!
But juzikati DC alisema naye aliumwa COVID-19 wiki kadhaa zilizopita.
Pil mohamed afe mara ngapi mkuu?Hapo Iringa wakifa hao waarabu ndio mtajua Corona ipo! Maana kamji kanaongozwa na waarabu ki Abri/Asas, Huwel, T.ako, PilMohamed n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu kashakufa unaogopa kumtaja kivipi? Mbona kwenye radio kuna matangazo ya vifo? Babu njenje jana amefariki wamemtaja hadi jinaKwa watu wa Iringa sawa lakin si kwa kila mtu. Kwa mfano mtoto anayebakwa anapofichwa uso wake siyo kwamba kwa wale walioshuhudia au ndugu zake hawamjui.
Haiwi ishu wakati hadi wanasiasa na media zote zinahamia huko! Kumbuka yule binti aliyefiwa na familia yake waliokuwa wakimfata siku ya mahafaliNmesoma. Chakukufikirisha n nn hapo hao watu maarufu waliokufa wamefika hata kumi. Hv hujawahi kusikia familia moja wamekufa hata watu watano mbona haiwi ishu sana.
Kawaida kwako wewe wanakufaga kina nani mfululizo?Usibishane na uhalisia wa maisha. Wale watu zaidi ya 100 waliokufa pale Morogoro kwa ajali ya moto unadhani ndani mwao angekuwepo na Paul Makonda unadhani habari ile ingeandikwa kama vile ilivyokuwa imeandikwa.
Kwa mfano si kawaida Polisi kufa kwa kufuatana hapa Iringa tena wote wanaofahamika kwa vifo vinavyofanana. Sasa sisi wana Iringa kushangaa unatushangaa nini?
Mkuu madaga ni miaka gani ulikua maeneo yale