INAUZWA Vifuatavyo vinauzwa, mmiliki anahamia nchi nyingine

INAUZWA Vifuatavyo vinauzwa, mmiliki anahamia nchi nyingine

Ila sisi wabongo tuna matatizo Sana.

Tunaacha issue ya muhimu ambayo ni biashara tunajadili yasiyotuhusu.

Watu wamekomaa as if uyo mzungu yeye sio binadamu? Kama mbogo anaweza kuishi uko kitunda why mzungu asiweze kuishi wakati wote sisi ni binadamu.
 
Kwa jinsi navyopajua kitunda kinyatira. Ni ngumu sana kwa mzungu kuishi kwa zama hizi. Labda huyo mzungu awe mpelelezi kama carl peter

Mzanzibar tu ama mtu wa Tanga kuishi kinyantira hawezi sembuse mzungu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mgeni kutoka Ubelgiji amevitumia chini ya miezi miwili na anaviuza kwasababu anahamia nchi nyingine.
1.Shelfu ya chuma- tsh100,000/=
2.Meza ya chuma ya jikoni-100,000/=
3.Mtungi wenye gesi kilo15(oryx)-100,000/=
4.Rice cooker (west point)-120,000/=
5.Mapazia6 na miti yake-80,000/=
6.Jiko la gesi (Ailyons)-120,000/=
7.Feni(High class)-70000/=
8.Kitanda(6*6) cha miti mgumu-600,000/=
9.Godoro(6*6) Tanfom-330,000/=
Maelewano yapo/punguzo kwa atakayechukua vitu kadhaa.Siku ya mwisho ni Alhamisi(27/01/2022)

Vitu vipo Kitunda,Kinyantira,kituo:Fundi Baiskeli-Dar es Salaam
Mawasiliano:0685381338

Muhimu:Mimi sio Dalali, ni mfanikishaji tu.

View attachment 2096362
View attachment 2096363
View attachment 2096364
View attachment 2096365
View attachment 2096366
View attachment 2096367
View attachment 2096369

Hivi Manzese haipo Tanzania? Maana mtu Kama anatoka Mburahati kuja Manzese ana Hama nchi kweli?
 
Wakuu kumbe hamjamwelewa mleta mada. Huyu mgeni katoka ubelgiji na matakataka so kaja kutafuta nauli ya kuhamia nchi nyingine.
Soma vizuri utaelewa nacho maanisha
 
Mgeni kutoka Ubelgiji amevitumia chini ya miezi miwili na anaviuza kwasababu anahamia nchi nyingine.
1.Shelfu ya chuma- tsh100,000/=
2.Meza ya chuma ya jikoni-100,000/=
3.Mtungi wenye gesi kilo15(oryx)-100,000/=
4.Rice cooker (west point)-120,000/=
5.Mapazia6 na miti yake-80,000/=
6.Jiko la gesi (Ailyons)-120,000/=
7.Feni(High class)-70000/=
8.Kitanda(6*6) cha miti mgumu-600,000/=
9.Godoro(6*6) Tanfom-330,000/=
Maelewano yapo/punguzo kwa atakayechukua vitu kadhaa.Siku ya mwisho ni Alhamisi(27/01/2022)

Vitu vipo Kitunda,Kinyantira,kituo:Fundi Baiskeli-Dar es Salaam
Mawasiliano:0685381338

Muhimu:Mimi sio Dalali, ni mfanikishaji tu.

View attachment 2096362
View attachment 2096363
View attachment 2096364
View attachment 2096365
View attachment 2096366
View attachment 2096367
View attachment 2096369
Mkuu kwa bei hizo unachekesha sanaaa, mtungi was oryx ukiwa full (mpya) in sh.90k wewe unauza 100k

Rice cooker inauzwa 65000 wewe unauza 120000, hapo utasuburi sanaaa
 
Huyo mzungu alikuwa hana hata demu wa kukata kiu.
Amwachia hayo mazaga ambayo yapo chini ya 1M.
 
Hiyo bei ya kila bidhaa uliyoweka hapo, ni mara mbili ya bei halisi ya kuuzia! Maana ni vitu used! Hivyo nakushauri kama vipi mwambie tu huyo muuzaji aende navyo huko Ulaya!

Sidhani kama kuna mtu na akili zake timamu, atanunua hivyo vitu kwa bei ya kulangua kiasi hicho. Yaani umelijambia na kulikojolea godoro lako kwa miaka chungu nzima, halafu nilinunue kwa laki 3 na 30!!!!
 
Ila sisi wabongo tuna matatizo Sana.

Tunaacha issue ya muhimu ambayo ni biashara tunajadili yasiyotuhusu.

Watu wamekomaa as if uyo mzungu yeye sio binadamu? Kama mbogo anaweza kuishi uko kitunda why mzungu asiweze kuishi wakati wote sisi ni binadamu.
Nayeye mleta mada alikuwa na haja gani ya kutaja Mzungu?hilo lilikuwa halituhusu kwanini asiseme tu vitu vinauzwa,mambo mengine ni kujitakia tu,au huenda alikuwa na lengo lake si unaona hata bei zake ni juu,alijua akisema Mzungu katumia watu watajua labda ni OG,sasa wakakutana na mtungi wa gesi unauzwa Laki.
 
Saingine chanzo cha ban ni mada kama hii ulioleta😅 hamna mzungu Expatriate anakaaga kitunda!

Uelekeo ni Masaki ama Oysterbay siku zote akifeli sana ataishia Kawe au Mbezi beach. Huko ndiko kuna maeneo ambayo walau yanafanana na alipotoka.

Hizo bidhaa sema ulipozitoa kama si zako ila usisingizie ni za mzungu expatriate.
 
Hakuna mzungu anayeishi Kinyatira Kitunda. Hayo maeneo balozi yoyote ya nchi za Ulaya haiwezi kuruhusu raia wake kuishi. Huko ni kwa wakurya tu hata mpemba hawezi ishi
Niliwahi kwenda Kitunda mara moja na nilihapa sitokaa niishi uko. Kwanza nilienda na vipanya alafu watu wote kwenye gari ni washamba na uncivilized, kelele kibao na uswahili mwingi. Nilichokuwa naenda kununua nikakuta ni feki nikarudi zangu nikaenda kipata kwa muuzaji mwingine mjini.
Kitunda kuna vumbi na kila kona kuna dalili za kuku. Either vibanda, mayai, vyakula, baiskeli za wabebaji. Yani fujo tu
 
Back
Top Bottom