INAUZWA Vifuatavyo vinauzwa, mmiliki anahamia nchi nyingine

INAUZWA Vifuatavyo vinauzwa, mmiliki anahamia nchi nyingine

Unadhani kwa nini muuzaji kataja mzungu?

Kama lengo ni kuuza vitu tu, si angetangaza vitu pekee pasipo kutaja asili ya mmliki
Kwann uwe m,bishi kutokuamini kama hivyo vitu vimetumiwa na mzungu?

Mtu anaishi kama tunavyishi sisi, kwani ngozi nyeupe Ina uspecial gani?

Basi tufanye sawa havijatumiwa na mzungu, umeshindwa kuuliza hata discount mnamshambulia jamaa kama sio mihemko ni Nini?

Mnajadili mtu badala ya ideas?
 
Kwann uwe m,bishi kutokuamini kama hivyo vitu vimetumiwa na mzungu?

Mtu anaishi kama tunavyishi sisi, kwani ngozi nyeupe Ina uspecial gani?

Basi tufanye sawa havijatumiwa na mzungu, umeshindwa kuuliza hata discount mnamshambulia jamaa kama sio mihemko ni Nini?

Mnajadili mtu badala ya ideas?

Kwenye biashara kuna kitu kinaitwa "credibility", sasa nitaanzaje kutaka discount kama nina wasiwasi na uaminifu wa muuzaji?...

Nia ya muuzaji kuandika vitu ni vya mzungu kwake muuzaji ndio alitaka ibebe uaminifu na pengine kutaka watu waamini umadhubuti wa vitu anavyouza...

Watu wanaokosea labda ni hao wanaokejeli kwa kuandika sijui mzungu wa Buza, au mzungu kuishi huko kulikotajwa..
 
JF imeshakuwa jukwaa la machokoraa na mabwege .

Yaan mtu kapost thread kwa nia njema tu, ili wanaohitaji wamfuate, lkn kuna mapuuzi yanaibuka From nowhere,kuanza kumchallenge kijana wawatu, hiv hiyo ni akili?

Kuna wengine humu mnajiita mnaakili timamu na wenye heshima lkn haya muyaoneshayo humu, si jambo zuri, kama huvutiwi na biashara ya mtu, si utulie tu ukae kimya, mbna nyuzi nyingi tu unaweza chagua unayotaka kuisoma?

Acheni kuharibia biashara za watu jamani hiyo michezo ya kijinga sana.

JF nowadays imevamiwa na wahuni wengine watoto wasiojua Nini maana ya maisha.

Jiheshimuni
Mbona sasa maswali ya wateja huyajibu ila umekuja kuwachamba!!
 
Nacheka na comments tu mimi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hili jukwaa huwa linanipa raha sana, nimemekumbuka uzi mmoja nao ulikuwaga hivi hivi na mtoa mada akageuka kuwa comedian.
 
Kwenye biashara kuna kitu kinaitwa "credibility", sasa nitaanzaje kutaka discount kama nina wasiwasi na uaminifu wa muuzaji?...

Nia ya muuzaji kuandika vitu ni vya mzungu kwake muuzaji ndio alitaka ibebe uaminifu na pengine kutaka watu waamini umadhubuti wa vitu anavyouza...

Watu wanaokosea labda ni hao wanaokejeli kwa kuandika sijui mzungu wa Buza, au mzungu kuishi huko kulikotajwa..
Una hoja lakini bado haishawishi hata.

Wasiwasi utoke wapi? Kuambiwa vitu ni vya mzungu ndo ukose kumuamini muuzaji kweli?
Vipi ikiwa itadhibitika kuwa ni vitu vya mzungu kweli Ina maana utaamuamini muuzaji na credibility utampa?

Na kwanini ushindwe kuamini kuwa hivyo vitu ni vya mzungu?

Tafsiri yako haswa ya mtu kuwa mzungu ni Nini?
 
Una hoja lakini bado haishawishi hata.

Wasiwasi utoke wapi? Kuambiwa vitu ni vya mzungu ndo ukose kumuamini muuzaji kweli?
Vipi ikiwa itadhibitika kuwa ni vitu vya mzungu kweli Ina maana utaamuamini muuzaji na credibility utampa?

Na kwanini ushindwe kuamini kuwa hivyo vitu ni vya mzungu?

Tafsiri yako haswa ya mtu kuwa mzungu ni Nini?

Kwa yeye kutaja kwamba vitu ni vya mzungu, mantiki yake ni kwamba anaanza kujenga foundation ya ama umadhubuti, upya n.k (nia hii anaweza eleza vizuri muuzaji), ungelikuwa ni mwanasheria ungenielewa vizuri mkuu...

Ngoja tumwachie mwenye uzi wake afanye biashara, porojo zetu hazitasaidia kumpatia wateja...

Siku njema mkuu...
 
Kilichowauma watu sio Mzungu tatizo ni bei ya bidhaa kua kubwa halafu anasingiziwa Mzungu
 
JF imeshakuwa jukwaa la machokoraa na mabwege .

Yaan mtu kapost thread kwa nia njema tu, ili wanaohitaji wamfuate, lkn kuna mapuuzi yanaibuka From nowhere,kuanza kumchallenge kijana wawatu, hiv hiyo ni akili?

Kuna wengine humu mnajiita mnaakili timamu na wenye heshima lkn haya muyaoneshayo humu, si jambo zuri, kama huvutiwi na biashara ya mtu, si utulie tu ukae kimya, mbna nyuzi nyingi tu unaweza chagua unayotaka kuisoma?

Acheni kuharibia biashara za watu jamani hiyo michezo ya kijinga sana.

JF nowadays imevamiwa na wahuni wengine watoto wasiojua Nini maana ya maisha.

Jiheshimuni
Au mzungu ni wewe? 😂😂😂
 
Mgeni kutoka Ubelgiji amevitumia chini ya miezi miwili na anaviuza kwasababu anahamia nchi nyingine.
1.Shelfu ya chuma- tsh100,000/=
2.Meza ya chuma ya jikoni-100,000/=
3.Mtungi wenye gesi kilo15(oryx)-100,000/=
4.Rice cooker (west point)-120,000/=
5.Mapazia6 na miti yake-80,000/=
6.Jiko la gesi (Ailyons)-120,000/=
7.Feni(High class)-70000/=
8.Kitanda(6*6) cha miti mgumu-600,000/=
9.Godoro(6*6) Tanfom-330,000/=
Maelewano yapo/punguzo kwa atakayechukua vitu kadhaa.Siku ya mwisho ni Alhamisi(27/01/2022)

Vitu vipo Kitunda,Kinyantira,kituo:Fundi Baiskeli-Dar es Salaam
Mawasiliano:0685381338

Muhimu:Mimi sio Dalali, ni mfanikishaji tu.

View attachment 2096362
View attachment 2096363
View attachment 2096364
View attachment 2096365
View attachment 2096366
View attachment 2096367
View attachment 2096369
Naomba picha ya shelf pm
 
Huyu Mzungu angejua kusoma hizi comments angeahirisha kuuza na kugawa bure 😂😂😂😂😂
 
Ila sijaona aliposema MZUNGU..amesema mgeni kutoka ubelgiji..ambae kwa mtazamo wangu siyo lazima awe mzungu.
 
Duuh! Huyo mzungu alikuwa hafanyi usafi ndani? Naona chupa za pepsi chini, meza ya jikoni ni vurugu tu.

Mwambie apunguze njaa, vitu havifikishi hata 3m anaviuzaje? Mwambie aviache kwa mwenye nyumba
Weka picha ZA geto lako tuone.
100% haiwezi kuzidi hili
 
JF imeshakuwa jukwaa la machokoraa na mabwege .

Yaan mtu kapost thread kwa nia njema tu, ili wanaohitaji wamfuate, lkn kuna mapuuzi yanaibuka From nowhere,kuanza kumchallenge kijana wawatu, hiv hiyo ni akili?

Kuna wengine humu mnajiita mnaakili timamu na wenye heshima lkn haya muyaoneshayo humu, si jambo zuri, kama huvutiwi na biashara ya mtu, si utulie tu ukae kimya, mbna nyuzi nyingi tu unaweza chagua unayotaka kuisoma?

Acheni kuharibia biashara za watu jamani hiyo michezo ya kijinga sana.

JF nowadays imevamiwa na wahuni wengine watoto wasiojua Nini maana ya maisha.

Jiheshimuni
Mkuu wala uhitaji kuita watu majina yenye sifa mbaya..hicho unachoshangaa ndiyo u GT..ma thinkers wote wako au walionekana kama vichaa au mabwege. Jambo la kujifinza hapa ukitaka kupandisha Uzi ni lazima ujipange.
 
Back
Top Bottom