Vifungashio vya plastiki visivyo na nembo ya TBS visitumike kuanzia leo

Vifungashio vya plastiki visivyo na nembo ya TBS visitumike kuanzia leo

Huoni tunaelekea overregulations?

Wakati Bank zinakaribia Ku collpase..
Wafanyabiashara wanapigwa na new regulations juu??Huoni impact yake kiuchumi?
But hii ya plastic was necessary

Mlianza majungu against nmb na shareholder wa Netherland, wamwwajibu Kwamba wapo with a new consortium

Sasa mnahamia huku

This country was very loose

Regulation ninmuhimu

Mbona siku hizi hata nyama.inachanjwa na mashine, tungesikiliza watu kama wewe tungekua wapi?

Chifu.... Just stop it

Standards are standards..... We are not animals
 
Unatenganisha vipi maamuzi ya taifa na siasa??? Wanaotengeneza na kupitisha regulations ni wakina nani?
I can
.requirements za afya au mazingira ni universal

Unless tunataka kutokua accountable
 
But hii ya plastic was necessary

Mlianza majungu against nmb na shareholder wa Netherland, wamwwajibu Kwamba wapo with a new consortium

Sasa mnahamia huku

This country was very loose

Regulation ninmuhimu

Mbona siku hizi hata nyama.inachanjwa na mashine, tungesikiliza watu kama wewe tungekua wapi?

Chifu.... Just stop it

Standards are standards..... We are not animals


Labda umeamua kuona kile unataka kuona

Facts zipo hadharani.. CEO wa NMB kanyimwa
Permit....
Mwekezaji WA nje wa Acb kauza hisa kasepa..
Now Acb wanaotaka kutoa milioni 50
Lazima waandike notice 24 hours kabla..

The whole banking industry iko na hofu
Baada ya freezing accounts practices na kadhalika...

Sasa kama hayo ndo majungu then weka wewe facts..

Hakuna anaesema plastics iachwe ..mbona walianza na mifuko na hakuna aliepinga.
Watu Wana complain Vague statement..
Na maelekezo yasiyo jitosheleza na amri na vitisho.. mbona Kwa mifuko walitoa deadline Lin iache kutumika?
Hii phase ya pili why ianze Tu January?
Umewaza ajira ngapi zitakua mashakani?
 
Labda umeamua kuona kile unataka kuona

Facts zipo hadharani.. CEO wa NMB kanyimwa
Permit....
Mwekezaji WA nje wa Acb kauza hisa kasepa..
Now Acb wanaotaka kutoa milioni 50
Lazima waandike notice 24 hours kabla..

The whole banking industry iko na hofu
Baada ya freezing accounts practices na kadhalika...

Sasa kama hayo ndo majungu then weka wewe facts..

Hakuna anaesema plastics iachwe ..mbona walianza na mifuko na hakuna aliepinga.
Watu Wana complain Vague statement..
Na maelekezo yasiyo jitosheleza na amri na vitisho.. mbona Kwa mifuko walitoa deadline Lin iache kutumika?
Hii phase ya pili why ianze Tu January?
Umewaza ajira ngapi zitakua mashakani?
Nmb ina CEO mitanzania mwanamama... Unataka awe nani?

We had many banks with poor oversight, labda ulikua mtoto tulipopigwa na meridian biao, Greenland etc. We'd rather have fewer banks with performance and compliance

And not every mwekezaji is clean

Nchi ilikua shamba la Bibi, hii norming is part of any system growth and maturity
 
But hii ya plastic was necessary

Mlianza majungu against nmb na shareholder wa Netherland, wamwwajibu Kwamba wapo with a new consortium

Sasa mnahamia huku

This country was very loose

Regulation ninmuhimu

Mbona siku hizi hata nyama.inachanjwa na mashine, tungesikiliza watu kama wewe tungekua wapi?

Chifu.... Just stop it

Standards are standards..... We are not ani
But hii ya plastic was necessary

Mlianza majungu against nmb na shareholder wa Netherland, wamwwajibu Kwamba wapo with a new consortium

Sasa mnahamia huku

This country was very loose

Regulation ninmuhimu

Mbona siku hizi hata nyama.inachanjwa na mashine, tungesikiliza watu kama wewe tungekua wapi?

Chifu.... Just stop it

Standards are standards..... We are not animals
Nmb ina CEO mitanzania mwanamama... Unataka awe nani?

We had many banks with poor oversight, labda ulikua mtoto tulipopigwa na meridian biao, Greenland etc. We'd rather have fewer banks with performance and compliance

And not every mwekezaji is clean

Nchi ilikua shamba la Bibi, hii norming is part of any system growth and maturity


So Rabbobank nao wapigaji duh??
 
viwepo vifungashio vyankaratasi vile haviharibu mazingira
 
Acha watugeuze geuze tu kama chips mayai Mungu atatutetea.
 
Yaani mradi viwe na nembo ya TBS siyo shida,, hamna shida tutaweka tu
 
So Rabbobank nao wapigaji duh??
Hapana

Wameungana na Norwegians, na one more partner wameunda new company na shares zao zipo intact

Cheki citizen ya Jana wamezungumzia new company inaitwa arise... Arise inherits all shares kaka

We mzee uko smarter hasa kwenye facts, umekuaje?
 
Yaani ishu ni nembo tu ya TBS kwenye kifungashio au mi ndio sijaelewa ipasavyo!?

Yaani nembo tu!? Ikishakuwepo ndio vinakuwa sahihi kutumika bila kuathiri mazingira!? Huu usomi wenu huu!!!?
Issue ni kwamba,wanataka Kodi!ili uuze ubuyu,ice cream, karanga korosho maji kwenye vifungashio inakubidi uvigharamie ili iwe na jina lako(kampuni,TIN)then TBS eanaidhinisha units wa vifungashio.
Bado minne.
Au nasema uongo ndugu zangu?

Sent from my Lenovo K10a40 using JamiiForums mobile app
 
Yaani ishu ni nembo tu ya TBS kwenye kifungashio au mi ndio sijaelewa ipasavyo!?

Yaani nembo tu!? Ikishakuwepo ndio vinakuwa sahihi kutumika bila kuathiri mazingira!? Huu usomi wenu huu!!!?
Kuwa na nembo ya TBS maana yake bidhaa yako imehakikiwa na kupewa nambari ya usajili na TBS...

Na kama bidhaa hiyo ni chakula mathalani ubuyu, lambalamba, basi ujue imepitia mlolongo wa kimaabara wa kuhakikiwa vitu vilivyotumika kuitengeneza...

Na hata kifungashio nacho kinahusika kupitishwa na TBS
 
Watu wamejiajiri wanapata ridhiki kupitia hivyo vifungashio visivyo na nembo ya TBS

Wauza Barafu, miwa, ubuyu ,karanga mnawaweka wapi?

Baadala ya kuwapa elimu ya kutunza mazingira ndio mnataka kuwadidimiza kwenye umasikini.


Mimi nafikiri kuna mahali tunachanganya uhalisia na fikra za mazoea:

Aliyejiajiri na kupata riziki kupitia vifungashio vyenye ubora usiofahamika- hapa unamtetea⁉️⁉️

Wauza karanga, ubuyu na miwa wakitumia vifungashio vyenye ubora unaofahamika hawatafanya biashara⁉️⁉️⁉️

Wewe ukisikia TBS wakizungumzia ubora unafikiria elimu ya mazingira‼️‼️‼️⁉️, protection of consumers health je‼️‼️‼️‼️⁉️⁉️


Ni vema tukapanua uelewa wa mambo muhimu kama haya. Tuache kutazama kila jambo kwa ubaya
 
Issue ni kwamba,wanataka Kodi!ili uuze ubuyu,ice cream, karanga korosho maji kwenye vifungashio inakubidi uvigharamie ili iwe na jina lako(kampuni,TIN)then TBS eanaidhinisha units wa vifungashio.
Bado minne.
Au nasema uongo ndugu zangu?

Sent from my Lenovo K10a40 using JamiiForums mobile app
Kwa nilichokielewa hapo, sio kodi kutoka kwa huyu mfungaji ubuyu. Vile vifungashio vitapigwa chapa huko huko kiwandani halafu vinaletwa mjini sokon Kariakoo kuuzwa, halafu mchuuzi mwenzangu ataenda kuvinunulia pale pale mjini sokoni
 
Nmb ina CEO mitanzania mwanamama... Unataka awe nani?

We had many banks with poor oversight, labda ulikua mtoto tulipopigwa na meridian biao, Greenland etc. We'd rather have fewer banks with performance and compliance

And not every mwekezaji is clean

Nchi ilikua shamba la Bibi, hii norming is part of any system growth and maturity
Certified Idiot
 
Back
Top Bottom