Vifungashio vya plastiki visivyo na nembo ya TBS visitumike kuanzia leo

Vifungashio vya plastiki visivyo na nembo ya TBS visitumike kuanzia leo

Hivi Hajanielewa Tu Jamani
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Tuko vizuri kwa kweli.

Mimi nataka ifike hatua mpaka nyanya na vitunguu ziwe zinabandikwa stika ya TRA.
Mkuu tulikua tunanyapia nyapia kwa kuleta nivea hizi kuja kuuza bongo sasa hivi wanataka ulipie usajiri kwa kila bidhaa utakayoleta moja ni laki tano roll za nivea zipo Kama aina ishirini hivi hizo zingine lipia laki mbili na nusu hapo utakuja kwenye lotion zake unakuta mtaji mzima umeacha kwenye usajiri wa bidhaa hapo bado TBS na Kodi...mpaka unajiuliza wanafikilia nini kuweka viwango vikubwa vya kukomoana wakati hizo bidhaa bidhaa nyingi zinatakiwa hapo ili mzunguko wa fedha uwepo...
 
Zile box za maziwa nina tutatumia kuwekea maji. Environmental science ipo juu.
 
Sio kweli kwamba wauza Barafu ubuyu etc watashindwa kufanya biashara.. Ukienda kariakoo soko dogo Vifungashio vilivyopitishwa na TBS vipo Saizi zote... Hivi vya TBS ni transparent kama hivi Vingine Tu nani vizito kidogo. UELEWA KWA WATUMIAJI NI MUHIMU.. SERIKALI BADO HAIJATOA ELIMU YAKUTOSHA
 
Lakini huduma zao kwa raia ni nzuri. Sasa huku unalipishwa laki tano ilhali unaishi kwenye nyumba ya matope na ukicheka mkuu wa Wilaya anakulamba viboko.
Hmmm Mambo ya makazi mazuri ni Jambo la muhusika mwenyewe, labda tuongelee mambo mengine. Kuna mambo hayavumiliki kabisa hivyo ukizingua unakula fimbo tu😂😂
 
Tofauti kubwa sana kati ya kodi katika Nchi hiyo inavyotumika katika kuboresha maisha ya raia na Tanzania ambapo maisha ya raia yanazidi kurudi nyuma kwa kasi ya kutisha.
Jiwe Anapenda kodi kupindukia kama serikali za nchi ya skandinevia. Kwao wanathamini kodi vibaya sana na ukikwepa kulipa uzito wake ni mkubwa hata kuliko kesi za kuua na kubaka.
 
Sio kweli kwamba wauza Barafu ubuyu etc watashindwa kufanya biashara.. Ukienda kariakoo soko dogo Vifungashio vilivyopitishwa na TBS vipo Saizi zote... Hivi vya TBS ni transparent kama hivi Vingine Tu nani vizito kidogo. UELEWA KWA WATUMIAJI NI MUHIMU.. SERIKALI BADO HAIJATOA ELIMU YAKUTOSHA
Niliogopa nkapiga hesabu sasa wale jamaa wanaotuuzia Korosho Wataanza kutuuzia za kupima!
 
Kama tumefanikiwa kufunga chips na mafta yake(Kama tukikosa foil sheet) ...hatutashindwa mkate na bizaa nyingine, shida ni ice cream ,au tule chopsticks tuu, nazan tunapenda kuwaumiza walimu hko primary walizokuwekea zamu kuuza vyakula na barafu,,, pia Azam barafu itaenda kuota mbawa maana jamaa daah🤕🤕🤕
 
Mmh, wauza ubuyu mitaani wasitumie lakini wanaofungasha viwandani wanaruhusiwa?
 
Back
Top Bottom