Vifungashio vya plastiki visivyo na nembo ya TBS visitumike kuanzia leo

Vifungashio vya plastiki visivyo na nembo ya TBS visitumike kuanzia leo

1609681353513.png

Makusanyo ya DPP hatujaelezwa, Yale yalikua ni ya TRA tu.

==
Kaimu Meneja wa NEMC Kanda ya Kaskazini, Nancy Nyenga, aliiambia Nipashe kwamba, kwa kiwanda kitakachozalisha vifungashio hivyo, kitatozwa faini ya Sh. milioni 20 na isiyozidi Sh. bilioni moja au kifungo cha miaka miwili jela au adhabu zote kwa pamoja.


Kwa mujibu wa mtendaji huyo wa NEMC, vifungashio vinavyolengwa ni pamoja na vinavyotumika kufungasha ubuyu, barafu na vyote vya plastiki visivyokuwa na nembo ya TBS.


Akizungumzia marufuku hiyo, alisema vifungashio vyote vya plastiki visivyokuwa na nembo ya TBS, havitaruhusiwa kuanzia Januari Mosi mwaka huu, yaani leo, kwa kuwa serikali imeshapiga marufuku na kuelekeza vifungashio vinavyoruhusiwa.
 
Jiwe Anapenda kodi kupindukia kama serikali za nchi ya skandinevia. Kwao wanathamini kodi vibaya sana na ukikwepa kulipa uzito wake ni mkubwa hata kuliko kesi za kuua na kubaka.
Lakini huduma zao kwa raia ni nzuri. Sasa huku unalipishwa laki tano ilhali unaishi kwenye nyumba ya matope na ukicheka mkuu wa Wilaya anakulamba viboko.
 
Safi sana very very nice
Ninachopendea kwenye kuumia tunaumia
Wote....safi sanaaa safi sanaaa

Ova
Tuko vizuri kwa kweli.

Mimi nataka ifike hatua mpaka nyanya na vitunguu ziwe zinabandikwa stika ya TRA.
 
kwa maana hii wauza karanga askrimu ubuyu kazi wanayo ok i have nothing to say
 
Sasa itakuwaje mama yangu kule uswahilini na biashara yake!
Shida mama Kuna siku atajisahau..
🙂 wata mchapa fimbo mkuu Atari sana hawaja sema baadala yake watumie Nini!
 
Back
Top Bottom