Vifurushi vya data vinapunguzwa lakini gharama inabaki palepale, kwa nini Serikali haidhibiti jambo hili?

Uliyoorodhesha ni sawa lakini hayaondoi wala kupunguza kero ya kupanda kwa gharama za bundles za data. Vyote vinatakiwa kufanyiwa kazi. Labda we mwenzetu ni mtumishi wa mitandao hiyo na unapata data bure, tutajuaje!! Ndio maana kwako sio kero! Tuache tunaokereka tutoe kero yetu!
 
Wewe ni mpumbavu hakuna mfano ,yani ubataka tupate katiba mpya ndo vifurushi vishuke bei,kenge wewe
 
tugomee matumizi ya mtandao na pia kupunguza kupiga simu kwa miezi miwili mpaka mitatu, watakapokosa mapato haraka wataweka rate ndogo.
 
mwenye mmiliki wa Tigo ni Rostam, unamjua rostam umarufu wake tanzania, sasa waziri nape ni mdogo sana kwenda kumwambia chochote rostam kuhusu bando au ubovu wowote,anajua atakosa kazi
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

hakuna nguvu ya umma tanzania, kuna nguvu ya umma yakushbikia simba na yanga
 
Mbona bei za vyakula kupanda kiholela, umeme wa magumashi na uhaba wa maji hapo dar hujaongezea [emoji23]
 
Kunguru wewe,

Nyie ndo mnajiita wapinzani?

Mavi kabisa wewe
 
Hivi kwanini lawama zinaenda kwa mawaziri tu ila rais Samia hahusishwi hata kwa kushindwa kugusia malalamiko ya wananchi kwa aliyewateuwa?
 
Kama Waziri mwenye dhamana kaingiziwa 500,000,000 Tsh kwenye akaunti yake unafikiri atafanya nini kwa wananchi? Kwa mitandao ku generate 500,000,000 Tsh is ma matter of seconds!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…