Nimefanikiwa baada ya kuirestart PC.....Hizi keyboard zipo nyingi kuna qwerty, Azerty etc
Angalia kwa windows 10 namna ya kubadili hapa
Sisi tunashare na Uingereza ama nchi nyengine za jumuia ya madola(Kenya, Uganda, etc)How to change keyboard layout on Windows 10
If you have to use more than one keyboard layout on Windows 10, in this guide, I'll show you how.www.windowscentral.com
Kama Ina windows nyengine niambie
Daah nilisha tikisa mno. Kuna kipindi week nzima unatoka NIL.Nani kajaribu hii.
View attachment 1145039
View attachment 1145040
Inaonekana odds za hizo 10GB, 500MB, 200MB na 100 MB ni ndogo sana. Labda chini ya 1%. Au kuna mtu humu amezibahatisha.
Daah nilisha tikisa mno. Kuna kipindi week nzima unatoka NIL.
Zenye msaada pale naona ni dk na sms. Lkn mb ni mawazo. Bora ujiunge bando la kawaida.
Inakuwa ni free kutikisa au kuna hela unaliwa?Nilipata 500mb mara moja tu ndani Kama ya miezi 3
Kutikisa ni bure, mara 5 kwa sikuInakuwa ni free kutikisa au kuna hela unaliwa?
Ila ule mchezo chief nafikiri wameweka wenyewe kuwa huyu tumpe vpKutikisa ni bure, mara 5 kwa siku
Kwanza Voda, Now Halotel seems wengine wanafuatia.Halotel vifurushi vya chuo internet ndio hivyo sahivi. 🤔View attachment 1150555
Ndo hiyo ya kusema wanafunga 4g?!😁Halotel vifurushi vya chuo internet ndio hivyo sahivi. 🤔View attachment 1150555
Ukitoa TTCL sidhani Kama Kuna kwenye vifurushi vizuri vya chuo. Wote wamepunguza.Voda wamepunguza bundles, hawafai
Ndo hiyo ya kusema wanafunga 4g?!😁
Ukitoa TTCL sidhani Kama Kuna kwenye vifurushi vizuri vya chuo. Wote wamepunguza.
Mkuu kwenye mobile data Hata huko duniani throttling ipo,Hivi kuna mtandao unaotoa true unlimited kama nchi nyingine ambapo unatumia utakavyo ukilipia kiasi flani. Kwasababu naona hii mitandao inatufanya watanzania wajinga, unakuta kuna vifurushi vya mwezi hadi vya 100000 lakini unakuta GB 40 . Wakati nchi nyingine watu wanalipa 50000 kwa mwezi anapata unlimited @ 6Mbps. Halafu eti wanatuambia Tanzania ni nchi yenye bei nafuu data.
Ni unlimited?!Mkuu kwenye mobile data Hata huko duniani throttling ipo,
Ukitaka true unlimited ipo kwenye broadband ambayo hupatikana Sana mjini, around 70K unapata 10mbps kwa Tanzania.
TTCL Wana nduki ambayo hupatikana Hata maeneo yasiyo katikati ya jiji sema Bei na speed haviendani.
Hahahaha niliwaulizaga wakasema hapa hawana 4g na spidi iko hivi wakiiweka eti vifurushi vitakuwa havikai😆😆Yani ni shida aisee. 4G yenyewe hatuioni.
Hivi kuna mtandao unaotoa true unlimited kama nchi nyingine ambapo unatumia utakavyo ukilipia kiasi flani. Kwasababu naona hii mitandao inatufanya watanzania wajinga, unakuta kuna vifurushi vya mwezi hadi vya 100000 lakini unakuta GB 40 . Wakati nchi nyingine watu wanalipa 50000 kwa mwezi anapata unlimited @ 6Mbps. Halafu eti wanatuambia Tanzania ni nchi yenye bei nafuu data.
Wajinga inamaana hawataki na sisi watz tijidai kwa internet yenye kasi kubwaHahahaha niliwaulizaga wakasema hapa hawana 4g na spidi iko hivi wakiiweka eti vifurushi vitakuwa havikai[emoji38][emoji38]
Broadband almost zote ni unlimited, unapimiwa tu kwa speed.Ni unlimited?!
NimekupataBroadband almost zote ni unlimited, unapimiwa tu kwa speed.