Wajanja tumesanuka daily tunaserereka na mega bando nyie komaeni na hivyo vya chuo shauri zenuHalotel kifurushi cha chuo kwa wiki
Kutoka mb500 hadi mb250 na dk
Ishakua tabu hiiView attachment 1155343
Huyo ni mzee wa hype tu. Steve job part II.Elon Musk ataleta mapinduzi makubwa sana
"ndo ikoje hio mkuu tuelekeze bas et[/QUOTE]Mega bando tatizo wanakupangia eti kwa siku usitumie zaidi ya mb500 kwa kifurushi cha mwezi"E="Smart Guy, post: 32182623, member: 404776"]
Wajanja tumesanuka daily tunaserereka na mega bando nyie komaeni na hivyo vya chuo shauri zenu
Smart guy
"ndo ikoje hio mkuu tuelekeze bas et[/QUOTE]Unajiunga kupitia Halopesa menyu"E="Smart Guy, post: 32182623, member: 404776"]
Mantiki ni kwamba ukimaliza hizo mb500 na bado unataka kutumia internet uunge kifurushi chengine, hivyo wanataka utumie zaidi ya hio 15K kwa mwezi."ndo ikoje hio mkuu tuelekeze bas et Unajiunga kupitia Halopesa menyu
Mantiki ya kulimit 500mb per day ni nini labda?
Au wanabana ili ununue kifurushi hiki mara moja tu kwa mwezi?View attachment 1155941
Yap Royal Bundle inamake sense zaidi.Sasa hapo si bora mtu atumie royal bundle kwa hela hiyo hiyo si unapata unlimited?
Naona kwangu kwenye menu inaonekana ila nikitaka kujiunga inagomaYap Royal Bundle inamake sense zaidi.
NdioLaini yako imetimiza miezi mi 3?
Nilipitia kwenye tawi lao moja wiki iliopita Kuna mdada akanambia watafungia line zisizo za Royal zisiunge Hilo bundle, pengine ndo wameanza.Naona kwangu kwenye menu inaonekana ila nikitaka kujiunga inagoma
Dah!Nilipitia kwenye tawi lao moja wiki iliopita Kuna mdada akanambia watafungia line zisizo za Royal zisiunge Hilo bundle, pengine ndo wameanza.
HALOTEL wana kifurushi cha UNLIMITED INTERNET kuanzia sa 6 usiku -12 asubuhi kwa 1000 tu. Ingia hii menu *148*66#>1.Special Offer>6. Ramadhan Offer>2. Unlimited InternetHalotel
-Vifurushi vya chuo
Hawa wana kifurushi kizuri cha chuo cha mwezi sh 10,000 unapata 10gb ni kizuri kwa wasiopenda usumbufu wa kuunga unga vifurushi, pia kipo cha wiki sh 500 mb600, kujiunga *148*55#
-Usiku 10g kwa sh 1500
Pia kipo kifurushi cha usiku kwa wale ambao airtel haina speed kwao, kujiunga *148*66# kisha utaenda upande wa internet.
Broadband ni internet ya staili ipi mkuuHuyo ni mzee wa hype tu. Steve job part II.
Tunahitaji kampuni moja tu isambaze broadband ikifanikiwa wengine nao watakuja kwa kasi, bila hivyo tutasota Sana na hizi mobile data.
Ipo makundi mengi mengi mkuu Kama vileBroadband ni internet ya staili ipi mkuu
Itabidi tuwajaribu, any news ya frequency wanayotumia?Airtel wana 4g kwa sasa naona wanatuma jumbe tukabadiri line na wana offer ya 4GB.
Bado sjajua boss wangu kesho nataka nipite ofisini kwao nikapate hiyo Line pia niwaulize hiyo kitu.Itabidi tuwajaribu, any news ya frequency wanayotumia?
HatimayeAirtel wana 4g kwa sasa naona wanatuma jumbe tukabadiri line na wana offer ya 4GB.