Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

[emoji39][emoji39]
IMG-20190725-WA0000.jpeg
 
Cha week, maana tuki_assume, wewe kwa week moja tu tayar umeshatumia tshs 2,000, sasa huoni hayo ni matumizi mabaya ya fedha?? .



Smart guy
Kiukweli katika vitu ambavyo vinanifanya na matumizi mabaya ya hela ni Bundle, yaani kwa siku naweza tumia zaidi ya gb 1 kwa siku..
Sijui nifanyeje wadau
 
Jaribu kwenye menu ya saizi yako.

*147*00#

Kisha bonyeza moja saizi yako.

Ukikosa kifurushi kizuri Hapo, jaribu ofa maalumu kwa *148*00#
Kwenye saizi yako wamentolea ofa ya 1500 gb 2 , yaan moja usiku na moja mchna

Sa sijui wanantakia nn hawa
 
Jana sasa,net ina connect na ku disconnect kila sekunde... Hawa jamaa kavu sana..ilibd nirud voda usku bila kupenda dah
Hawa jamaa wanadai hichi kifurushi usiunge zaidi ya mara 3 kwa mwezi
 
Kwenye saizi yako wamentolea ofa ya 1500 gb 2 , yaan moja usiku na moja mchna

Sa sijui wanantakia nn hawa
Ni majanga mkuu, Kama umekosa humo sidhani Kama Wana vifurushi vyengine vizuri vya internet,

Kama una simu ya laini 2 eka Halotel ama TTCL wao Sasa hivi ndio Wana unafuu wa vifurushi.
 
Lain yangu mpya tangu day 1 nikiunga ni vituko,lakin hata lain ya mwanzo mbona nilkua naunga kila siku fresh,juz juz ndo wmeanza kufanya vtuko lain zote
Hawa jamaa wanadai hichi kifurushi usiunge zaidi ya mara 3 kwa mwezi
 
Back
Top Bottom