UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Hiyo nayo hadi halopesa au unaweza kujiunga kw kawaida?Ndiyo ila hii kitu ishapigwa panga muda mrefu. Nishahamia Halotel kwenye 1000 unlimited internet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo nayo hadi halopesa au unaweza kujiunga kw kawaida?Ndiyo ila hii kitu ishapigwa panga muda mrefu. Nishahamia Halotel kwenye 1000 unlimited internet
Unajiunga kwa njia ya kawaida tu.Hiyo nayo hadi halopesa au unaweza kujiunga kw kawaida?
Unaungaje hicho?Unajiunga kwa njia ya kawaida tu.
- Bonyeza *148*66#Unaungaje hicho?
Sijakupata fresh mkuu kwani kinaitwa hicho kifurushi?samahani kwa usumbufu.- Bonyeza *148*66#
1. Ofa maalumu
6. Usiku ofa
Chagua namba 2
Usijali. Kinaitwa Usiku Ofa (Ramadhani ofa). Ukiwa na line ya halotel unabonyeza *148*66# ili kuingia kwenye menu yaoSijakupata fresh mkuu kwani kinaitwa hicho kifurushi?samahani kwa usumbufu.
Hapo nimekupata nimekiona👏 ujue hiki cha buku jero gb10 ni ndogo..Asante sana mkuu.Usijali. Kinaitwa Usiku Ofa (Ramadhani ofa). Ukiwa na line ya halotel unabonyeza *148*66# ili kuingia kwenye menu yao
-Unachagua ofa maalumu kwa kubonyeza 1
- Unachagua Usiku ofa kwa kubonyeza namba 6. Hapo utachagua cha 1000.
Mkuu hiki kifurushi mpe tahadhari mapema, kama ana kifurushi kingine akitumie kiishe kabisa ndio ajiunge hicho kifurushi, maana kuna muda waweza jiunga kila baada ya sekunde inaji disconnect.Usijali. Kinaitwa Usiku Ofa (Ramadhani ofa). Ukiwa na line ya halotel unabonyeza *148*66# ili kuingia kwenye menu yao
-Unachagua ofa maalumu kwa kubonyeza 1
- Unachagua Usiku ofa kwa kubonyeza namba 6. Hapo utachagua cha 1000.
Kwani ukitumia simu kama modem kuna shida ya disconection?Mkuu hiki kifurushi mpe tahadhari mapema, kama ana kifurushi kingine akitumie kiishe kabisa ndio ajiunge hicho kifurushi, maana kuna muda waweza jiunga kila baada ya sekunde inaji disconnect.
Binafsi imenitokea mara tatu hiyo hali.
Nimeshawalalamikia mno kwenye page zao.
Ila siku zingine ukijiunga inatulia vizuri tu.
Buku jero kwa halotel naomba menu yakeHapo nimekupata nimekiona👏 ujue hiki cha buku jero gb10 ni ndogo..Asante sana mkuu.
Kwani ukitumia simu kama modem kuna shida ya disconection?
Anachomaanisha mkuu ukiwa unajiunga kifurushi Cha usiku usiwe na kifurushi chengine chochote maana ukiungia kifurushi chengine kwa juu Ina tabia ya kukata internet kila sekunde,Kwani ukitumia simu kama modem kuna shida ya disconection?
Ahaaaa apo nimeelewaAnachomaanisha mkuu ukiwa unajiunga kifurushi Cha usiku usiwe na kifurushi chengine chochote maana ukiungia kifurushi chengine kwa juu Ina tabia ya kukata internet kila sekunde,
[emoji1488]Anachomaanisha mkuu ukiwa unajiunga kifurushi Cha usiku usiwe na kifurushi chengine chochote maana ukiungia kifurushi chengine kwa juu Ina tabia ya kukata internet kila sekunde,
Ila ni cha usiku tu mkuu kuanzia saa 6 hadi 12 asubuhi.Buku jero kwa halotel naomba menu yake
Niunge mkuuConnectionView attachment 1191259
Ila kwa halotel ni kawaida mambo hayo,unaweza kuweka buku jero yako usiku ili ujiunge kile cha GB10 ila unakuta menu yao ile 66# inakataa na ndiyo kilipo hicho kifurushi na ukiacha salio useme ujionge kesho basi hulikuti kama lilivyo lazima wapunguze tu kidogo.[emoji1488]
Hiki kifurushi kunasiku waweza toa buku lako sadaka.
Hizi tushatafuna mpaka tukasahau..! Wenye hawajawahiKwa wale wenye Airtel line hizi Mpya za 4g na cm ikiwa 4g press. *148*88# chagua number mbili upate GB 4 bure Kwa wiki nzima
Ukiona hizo dalili unakuwa tu mpole dk kadhaa then unajaribu tena.Ila kwa halotel ni kawaida mambo hayo,unaweza kuweka buku jero yako usiku ili ujiunge kile cha GB10 ila unakuta menu yao ile 66# inakataa na ndiyo kilipo hicho kifurushi na ukiacha salio useme ujionge kesho basi hulikuti kama lilivyo lazima wapunguze tu kidogo.