Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Mkuu now halotel kuna elf 10 pia Royal bando, mpango. Mzima, nkView attachment 1240210View attachment 1240213
.!
Screenshot_20191022-163437.jpeg
 
Unakipata kwa menu ipi
Kipo ndani ya App yao ya TTCL Huduma iko playstore so download kisha ifungue na nenda sehemu ya Ofa Kabambe utakipata hapo hakuna code yenye iko associated na hicho kifurushi isipokua ndani ya app yao tu...
 
Hii ndio JF na watu kama nyie ndio mnaipendezesha JF
App ambazo hazitumii resource nyingi sana kama ram ya simu na internet.

Mfano kuna facebook na facebook lite, facebook ni ya kawaida yenyewe inakuwa na mambo mengi na ni nzito na pia inakula sana mb, wakati facebook lite yenyewe ni nyepesi na mb kidogo.

Youtube pia ni hivyo hivyo youtube ya kawaida inaplay video mpaka za 4k wakati youtube go max ni 480p na unaweza chagua quality hadi 144p ili mb ziende kidogo.
 
Nampigia customer care HALOTEL anasema ni kawaida [emoji23][emoji23], Hawa jamaa hawako serious kabisaa. Niko hapa nawaza huko huko TTCL Naona wana unlimited ila sina uhakika kama hiyo option inapatikana kwenye menu yao ya kawaida. Naenda kuwaona kesho ofisini kwao.
Acha kabisa mkuu ni majanga mi ndo ninajiungaga hiko kifurushi now kina kama wiki 1 hivi toka nimalize zile gb za kasi naona speed ni ndogo sana mpaka nawaza kuhama niende zangu ttcl
 
Back
Top Bottom