spleeingiant
Senior Member
- Oct 24, 2016
- 138
- 45
Mkuu now halotel kuna elf 10 pia Royal bando, mpango. Mzima, nkView attachment 1240210View attachment 1240213
.!Mkuu now halotel kuna elf 10 pia Royal bando, mpango. Mzima, nkView attachment 1240210View attachment 1240213
Ndo nmetoka kujiunga hicho Dk 100 mitandao yote muda sio mrefu kwa 1k huwa najiunga kinadumu siku 5..Ttcl naona wamepost hiiView attachment 1241079
Unakipata kwa menu ipiNdo nmetoka kujiunga hicho Dk 100 mitandao yote muda sio mrefu kwa 1k huwa najiunga kinadumu siku 5..View attachment 1241096
Kipo ndani ya App yao ya TTCL Huduma iko playstore so download kisha ifungue na nenda sehemu ya Ofa Kabambe utakipata hapo hakuna code yenye iko associated na hicho kifurushi isipokua ndani ya app yao tu...Unakipata kwa menu ipi
HarotelMtandao gani nitaweza kupata japo 1GB kwa 1000 japo kwa wiki?
Halotel 4G [emoji95]
App ambazo hazitumii resource nyingi sana kama ram ya simu na internet.
Mfano kuna facebook na facebook lite, facebook ni ya kawaida yenyewe inakuwa na mambo mengi na ni nzito na pia inakula sana mb, wakati facebook lite yenyewe ni nyepesi na mb kidogo.
Youtube pia ni hivyo hivyo youtube ya kawaida inaplay video mpaka za 4k wakati youtube go max ni 480p na unaweza chagua quality hadi 144p ili mb ziende kidogo.
Hivi line ya 4g unaipataje?Kwa wale wenye Airtel line hizi Mpya za 4g na cm ikiwa 4g press. *148*88# chagua number mbili upate GB 4 bure Kwa wiki nzima
It's Halotel not Harotel.Harotel
Acha kabisa mkuu ni majanga mi ndo ninajiungaga hiko kifurushi now kina kama wiki 1 hivi toka nimalize zile gb za kasi naona speed ni ndogo sana mpaka nawaza kuhama niende zangu ttcl
Vodacom vipi wakuu
Kwa speed hii...siunatakiwa uwe Na TB and not GB...mmmmmHalotel 4G [emoji95] View attachment 1241474