[emoji41] [emoji41]Sana mkuu,inatosha kwa aliotupiga, kuendelea kuona tena anawapiga wengine hapana aiseee...
Kajamaa kamepotea hakajarudi tena dadeki zake [emoji23][emoji23]Game is Over!!
Sipo hapa kwa kubishana, nimeweka vielelezo vyote,umesema unaomba screenshot ya sms,nimeweka
Nimeweka hadi namba yako
Mwenye macho kaona!!
Jumapili njema!!
Hongera sana mkuu, umeweka ushahidi beyond reasonable doubt, huyu jamaa ni TAPELINamba iliyopo hapo kwenye conversation inayotaka kutumiwa pesa ni 0625 79 68 05
Bado una jipya tu mkuu? View attachment 1531893
Inatosha kwa aliyotupiga hadi sasaKajamaa kamepotea hakajarudi tena dadeki zake [emoji23][emoji23]
Shukrani sana mkuuHongera sana mkuu, umeweka ushahidi beyond reasonable doubt, huyu jamaa ni TAPELI
Daaah bro!!! unakataa namba yako leo hii?2
2018 damn dude! Na ni namba ya Nani iyo?
Alikuwa ameshasahau... Ni muda mrefu 2018Daaah bro!!! unakataa namba yako leo hii?
Nimecheka sana.Mtumie jamaa kifurushi chake, au mrudishie 5,000 yake.
Kunapokua na shutuma kama hizi za utapeli ni vyema kuzitolea taarifa mapema kwa Moderator jamaa ale ban ya maisha ili asiwatapeli na watu wengine.Alikuwa ameshasahau... Ni muda mrefu 2018
Bila shaka moderator kalala usingizi wa pono ama anaona sii jambo la kutisha ama kutatiza/ghafilisha watu/wadau ila ukweli ni kwamba inabidi lisifumbiwe macho kabisa,Kunapokua na shutuma kama hizi za utapeli ni vyema kuzitolea taarifa mapema kwa Moderator jamaa ale ban ya maisha ili asiwatapeli na watu wengine.
Nilitegemea atatetea hoja ilikuaje ila naona kakimbia mazima,tafadhali Maxence Melo hili swala lichukulieni hatua,tunataka jamii forum iliyosalama.
U
Umeelewa swali?
Namba iliyopo hapo kwenye conversation inayotaka kutumiwa pesa ni 0625 79 68 05
Bado una jipya tu mkuu? View attachment 1531893
Almanusra nami niingie mkenge mwaka juzi kwenye vifurushi vya Tigo & VodaEti Damn dude[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Anajidai kuongea kingerezaa ila bongo nyoso sana mamaeee... Mkuu umempa za uso hatari damn dude..
Dah! Baharia unatudhalilisha.U
Umeelewa swali?
Nani huyo man?ili life lakibongobongo noma sana, mjamaa likuwa anawaokota kwa elfu 50 50 wamemdaka π π π
Baba wawili jamani [emoji1787][emoji1787] hiyo hela si bora ungenitumia mimiUna kingine cha kujitetea mkuu? Na hiyo ni 2018...View attachment 1531880View attachment 1531881
kuna tapeli mmoja anajiita King Elly wamembananisha na screenshot zakutosha jinsi alivyokuwa ana saka tonge na utapeli wakeπππNani huyo man?
[emoji23][emoji23] aisee, ni bora ningefanya hvyo mtoto mlitoBaba wawili jamani [emoji1787][emoji1787] hiyo hela si bora ungenitumia mimi
I see. Balaa na nusu π€£ π€£ π€£kuna tapeli mmoja anajiita King Elly wamembananisha na screenshot zakutosha jinsi alivyokuwa ana saka tonge na utapeli wakeπππ