naomba nitumie kwenye pm yangu 🙏🏿Link imekua revoked mkuu, Kuna mamluki wengi
Naomba link tafadhali mkuu, Just PM[emoji1431]Link imekua revoked mkuu, Kuna mamluki wengi
Hakuna penye afadhali kote chali kuanzia ttcl voda tigo airtel hamna kitu nimefany ulinganifu nimeona bado halotel wana unafuu kuliko wote hao kweny vifurushi kupanga ni kuchaguawapi afadhali kwa sasa?
thanks mkuuHakuna penye afadhali kote chali kuanzia ttcl voda tigo airtel hamna kitu nimefany ulinganifu nimeona bado halotel wana unafuu kuliko wote hao kweny vifurushi kupanga ni kuchagua
Bhas kweny unafuu pamoja na vifurushi kubadilika hakun wa kumfikia halotel wengine utopolothanks mkuu
nilipo mimi Halotel haishiki
Halotel line ya chuo kuna unafuu.wapi afadhali kwa sasa?
Hao wako kwenye system za mitandao ya simu sio kwamba kuna menu wanawafanyia manuva tuMenu yake tafadhali, kwanini msitoe maelezo ya kueleweka?
Hata hizo ni nying ushukuru MunguInternet ya airtel vipi tena jamani? Nshazoea 2000 napata GB 2 , leo naamkia MB 750 au 975[emoji30]. Wapi kuna unafuu sikuhizi?
Mkuu usimwage mchele hizo laini hazipatikan kabisa na walizizuia kabisa na ukiipata shurti uwe na kitambulisho na chuo saiv hazipo mtaani kimagumashi kama kipindi cha nyuma....Halotel line ya chuo kuna unafuu.
Sh 1500 unapata GB 1 na MB 500 za youtube kwa wiki.
View attachment 1740932
Kama una line hiyo piga *148*55#
Naomba link tafadhali mkuu, Just PMSawa mkuu
Acha tuisome namb mkuu afu kuna watu watakuja hawana aibu mbele za tv zetu kuwa wanajali wanyongejamani hali ni mbayaa vifurushi vimekua ghali kuliko bia [emoji848][emoji848]
halafu wao ni free hata hawanunui bandoAcha tuisome namb mkuu afu kuna watu watakuja hawana aibu mbele za tv zetu kuwa wanajali wanyonge
Kila mwez ni uhakika wanaungwa bando wanatembelea magari mazuri na kweny magar kuna Wifi ya bure ana shida ganihalafu wao ni free hata hawanunui bando
Ni mungu asikie kilio mkuu na hivi iko kisiasa hili jambo sitashangaa wametengeneza wahe baadae watatue waonekane wamefanya kazi na wanatujalisasa vile vi online business vyetu tutaendeshaje sisi wanyonge [emoji26][emoji26][emoji26]