Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #3,121
Kama kifaa kinashika 4g Voda automatic kinatakiwa kishike TTCL, band ni mojAYeah! Na mm nilidhania hivyo hivyo japo kwa spidi ninayoipata napoteza imani nao.
Na mbaya zaidi imefeli ktk modem mbili na simu zote zinasapoti 4G.
Okay, ngoja nifanye kujaribu kucheki na Zantel maana halotel ni line yangu ya matumizi ya kawaida kwa hiyo nashindwa kuitumia kwenge modem sana.Walikuwa nacho ila na wao wametoa mkuu wsngu nikushauri kitu kama unataka mtandao weny unafuu sio lazima bando za usiku zantel wako vizur hat halotel ila kam unatak mtandao utaotumia huku unanungunika kila siku bas tumi ttcl utakuja kuleta mrejesho hapa mimi natumia san netflix kucheki movies ila sina budi huwa najiunga zantel elfu kumi GB 10 kwa mwez mzima
Voda, Halotel, Tigo zote zinashika 4G vizuri ktk device zangu zote ila TTCL ndio naona ni 300kbps na the same device nikiweka halotel napata 4-11+Mbps kutegemeana na sikuKama kifaa kinashika 4g Voda automatic kinatakiwa kishike TTCL, band ni mojA
Dah 10000 gb 2 kwel kupanga ni kuchaguaNawashukuru sana voda kurudisha hiki kifurushi cha 35k kwa mwezi chenye 30GB japo mwanzo kilikuwa ma 38GB.
View attachment 1749020
Yeah! Kuna uwezekano mkubwa, japo nahisi ni mitambo kuelemewa maana sina uhakika kama ni eneo maana mitandao yote kasoro Airtel na TTCL ninapata kasi ya juu kabisa. Hii miamba miwili tuu ndio sijaielewa ina matatizo gani hasa kimiundombinu eneo nililopoLine zao zote wanazotoa ni 4g kuhusu speed huwa inategemea na eneo,kipindi cha nyuma niliwahi nunua night bundlle yao ilikuwa slow sikuweza download kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawashukuru sana voda kurudisha hiki kifurushi cha 35k kwa mwezi chenye 30GB japo mwanzo kilikuwa ma 38GB.
View attachment 1749020
Voda sio mtandao rafiki kwa uzoefu niliopitia.Nawashukuru sana voda kurudisha hiki kifurushi cha 35k kwa mwezi chenye 30GB japo mwanzo kilikuwa ma 38GB.
View attachment 1749020
Voda kila mteja ana menu yake na offer zake.Unavipata ndani ya kifurushi kipi hivi? Kwangu ni tofauti kwenye Intaneti Supa
View attachment 1749028
Voda kila mteja ana menu yake na offer zake.
Wala hata usijichoshe kuchunguza sana.
Mm nina laini yao miaka 19 sasa na vifurushi ninavyoviona ni vichekesho.
Na hata ukijaribu kuongea na wahudumu wao watakuambia once mtu umekuwa assigned vifurushi ndio over. Hawabadili
Ni kwel kwa sisi walalahoi mkuu voda sio mtandao kabisaVoda sio mtandao rafiki kwa uzoefu niliopitia.
1: Bando zao zinakata ghafla na kabla ya kutimia eg. niliwahi kununua kifurushi cha 1GB ila sikumaliza kushusha movie ya 700MB.
2: Gharama juu sana za vifurushi
3: ...
Voda sio mtandao rafiki kwa uzoefu niliopitia.
1: Bando zao zinakata ghafla na kabla ya kutimia eg. niliwahi kununua kifurushi cha 1GB ila sikumaliza kushusha movie ya 700MB.
2: Gharama juu sana za vifurushi
3: ...
Aisee, amini ninachokuambia.Mkweli huwa ni data usage, waweza kuwa unashusha movie lakini kuna programs zingine pia zinafanya yake background. Au movie hiyo hiyo una download at the same time una seed kwa wenzako
Voda ni mtandao wa wanyongeNi kwel kwa sisi walalahoi mkuu voda sio mtandao kabisa
Kwa menu mpya ya juzi labda.Hii ni kweli ila ni kwa upande wa ofa ya yakwako tuu, vingine inapaswa vifanane kwa wateja wote unless ni zile offer maalumu za ukanda
Hahaaa eti wanyonge na halotel je ni mtandao wa kina nani acha utani bhan voda is expensive na bando zao zinakimbiaVoda ni mtandao wa wanyonge
Wanyonge kwa sababu hata wakiambiwa 1GB ni 10000 watanunua.Hahaaa eti wanyonge na halotel je ni mtandao wa kina nani acha utani bhan voda is expensive na bando zao zinakimbia
Hahaahaaaa sawa sawaWanyonge kwa sababu hata wakiambiwa 1GB ni 10000 watanunua.
Wabishi tunahama
Wale watu bhana bado wapo ila nadhani vifurush saiv vimepungua japo still ni nafuu ila wakat unatak kuunganishwa na hiyo huduma be aware matapeli wako humu jamvini usije sema atukukuambiaNaomba kupata taarifa kuhusiana na wale watoa huduma za Proxy internet... unakutaka unalipa elf 8 unapewa GB 30. Baada ya kubadilika vifurushi sijui walipotelea wapi. Kama kuna mtu ana koneksheni msaada tafadhali.