Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Mkuu hiyo bando ya airtel ya chuo ina hitaji laini ya chuo tu au ni inahitaji vocha za chuo nikimaanisha inakubali ktk laini yoyote ya airtel
unatakiwa uwe na kimoja kati ya hivyo,

ukiwa na vocha za chuo huna haja na line ya chuo, utatumia vocha na line ya kawaida.

ukiwa na line ya chuo hakuna haja ya vocha za chuo.

pia vifurushi vingi vinapatikana bila line ya chuo au vocha za chuo, ukiwa na line ya kawaida na airtel money unavipata kwenye menu ya airtel money, kasoro tu kifurushi cha 10gb kwa 600 ndio sijakiona.
 
Much respect kwako mkuu jf kiboko yao unapata madini ya thamani sana.
 
Thanks
 
Kama unatumia halotel nitakubadilishia laini yako hiyo hiyo kwa namba yako hiyo hiyo kuwa laini ya chuo. Kwa mitandao mingine sijaweza. Gharama yake ni 10,000/= haina haja ya kuishika laini yako huko huko ulipo ninakupa huduma. Karibu.
ya voda unafanya pia mkuu??
 
mkuu nau wamerudisha km kawaida bundle la chuo.angalia
Nimeona...naona walikua wanatutest...so far hawa jamaa natumiaga dak zao tu...nipo natumia uni ya voda iko poa sana
 
Hatar sana .....BT tigo nimewashindwa wauongo balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…