Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Ishini maisha ya kufuata utaratibu

Njia za panya hazifai

Sasa wewe unamwambia mwizi anajitafutia laana wakati na wewe ni mwizi kama yeye Kwa kununua Mali ya wizi?
 
ipo 89 now brother
Hahaha.... Huwa inasumbua[emoji317][emoji317],Lakini ikisumbua Huwa Nina alternative [emoji16].

Mjini Shule ndiyo,Lakini jasho la mnyonge halitoki bure,Huko ni kujitafutia mikosi KWENYE Maisha na kuanza kumtafuta mchawi Kwa waganga.Kumbe mchawi ni Wewe.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Mnajua vitu vingine muwe mnajiongeza.
Hivi hayo mabando mnafikiri makampuni ya simu was wanapewa bure?
yeye anatoa wapi hayo mabando?
 
Sijui ndo mwenyewe, na kama sio mwenyewe basi wanafanya the same business model!

Huyu ninayemzungumzia kuna siku niliwahi kumuuliza Instagram "...Hivi kuna mafamba huwa unawapata kwa staili hii"? Hakujibu, na wala sikutarajia kwamba angejibu!

Dah!! Kumbe anawapata aisee!
 
Wakati watu wazima tunalalamika kuuziwa 450MB kwa buku unafikiri hao ma pang’ang’a hatujawaonaga? Maisha hayajawahi kuwa mepesi hivyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…