Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Ishini maisha ya kufuata utaratibu

Njia za panya hazifai

Sasa wewe unamwambia mwizi anajitafutia laana wakati na wewe ni mwizi kama yeye Kwa kununua Mali ya wizi?
Wizi wangu uko wapi ? Sisi tunajua wanatoa huduma kweli mbona vodacom hajawahi sema kuna mapateli wa vifurushi ?
 
Kabisa mkuu ukitaka uishi vzr usiishi kwa dhuruma maana dhuruma ina madhara makubwa sana
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Mnajua vitu vingine muwe mnajiongeza.
Hivi hayo mabando mnafikiri makampuni ya simu was wanapewa bure?
yeye anatoa wapi hayo mabando?
Mkuu mimi najua ni kama seller wa makampuni ndo maana nikanunua ila nikaishia kutapeliwa
 
Hivi nina mzigo wa GB 36 natakiwa nidownload
Bando za usiku zimeondolewa imebaki ya Halotel nayo kichefuchefu kweli, 1500 GB 1.1

Yaani hapo natakiwa niwe na elf 50+.........Kudadadazeki walah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…