Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #3,601
Itakua speed bila kikomo sina uhakika.Hivi chief, wale voda wana kifurushi cha post paid gb 37 kwa elfu 50 afu wameandika bila kikomo, wanamanisha nini bila kikomo wakati wanasema ni gb37?
Nadhani ni 50 GB na wanasema spidi inakuwa kasi kwa mpk kiwango hicho cha MB kiishe then Ina drop unaendelea kutumia bure nadhaniHivi chief, wale voda wana kifurushi cha post paid gb 37 kwa elfu 50 afu wameandika bila kikomo, wanamanisha nini bila kikomo wakati wanasema ni gb37?
Huu ushauri itabidi niujaribu.Tafuta hotel yenye Mbps za kutosha kadownload.
Kabla ya kupinga, fanya tahimini mkuu. Ni elfu 50 kwa gb37Nadhani ni 50 GB na wanasema spidi inakuwa kasi kwa mpk kiwango hicho cha MB kiishe then Ina drop unaendelea kutumia bure nadhani
Mkuu si lazima hata Hotel hapa kkoo kuna zuku kila mtaa, tena Package kali za 50mbps. Watu wanachanga 10 kila mtu 10,000 wanavuta zuku. Hizi wifi ni za mchana tu, jioni hakuna anayetumia sababu watu wameshafunga maduka kama una mtu unaemjua anakupigia pande.Huu ushauri itabidi niujaribu.
Una mapendekezo yoyote mkuu?
Mkuu App gani umewahi pata nayo matokeo positive?? Nimejaribu nyingi sana bila mafanikio huwa naona ni fake tu wanatafuta revenue za Ads zao. Kama ipo ambayo umepata nayo matokeo share nasi jina lake.Mkuu si lazima hata Hotel hapa kkoo kuna zuku kila mtaa, tena Package kali za 50mbps. Watu wanachanga 10 kila mtu 10,000 wanavuta zuku. Hizi wifi ni za mchana tu, jioni hakuna anayetumia sababu watu wameshafunga maduka kama una mtu unaemjua anakupigia pande.
Alternative hotel almost zote za upanga, ile obey mpaka masaki zina wifi sema nyingi ni 10mbps, kama una file kubwa unakesha. Kuna app za password za wifi playstore kama kumbukumbu zipo sahihi Wanaonesha na speed ya wifi husika.
Kifupi mkuu hizi app hazina tofauti na true caller, ukiweka kwenye simu yako unazipa ruhusa kusoma password za wifi zako, hivyo zinakuwa sio 100% sahihi unless hio sehemu hawaja adili password muda mrefu.Mkuu App gani umewahi pata nayo matokeo positive?? Nimejaribu nyingi sana bila mafanikio huwa naona ni fake tu wanatafuta revenue za Ads zao. Kama ipo ambayo umepata nayo matokeo share nasi jina lake.
Tumepishana kidogo mkuu kwa maelezo yako nilijua unamaanisha kifurushi cha Kasi internet ndo ambacho ni 50 GB.Kabla ya kupinga, fanya tahimini mkuu. Ni elfu 50 kwa gb37
Anyway nimekusoma, kwenye huo ufafanuzi
Hii ishu ya zuku nikitoka kuongea na mwanangu tukasema ingekuwa imesambaa watu mnachanga mnavuta mzigo.Mkuu si lazima hata Hotel hapa kkoo kuna zuku kila mtaa, tena Package kali za 50mbps. Watu wanachanga 10 kila mtu 10,000 wanavuta zuku. Hizi wifi ni za mchana tu, jioni hakuna anayetumia sababu watu wameshafunga maduka kama una mtu unaemjua anakupigia pande.
Alternative hotel almost zote za upanga, ile obey mpaka masaki zina wifi sema nyingi ni 10mbps, kama una file kubwa unakesha. Kuna app za password za wifi playstore kama kumbukumbu zipo sahihi Wanaonesha na speed ya wifi husika.
Mkuu hiko hiko cha kasi angalia hapaTumepishana kidogo mkuu kwa maelezo yako nilijua unamaanisha kifurushi cha Kasi internet ndo ambacho ni 50 GB.
Unaagiza hata maji ama soda mkuu. Kama ni kwa kishua hata hata kikombe cha kahawa mkuu.
Mkuu si lazima hata Hotel hapa kkoo kuna zuku kila mtaa, tena Package kali za 50mbps. Watu wanachanga 10 kila mtu 10,000 wanavuta zuku. Hizi wifi ni za mchana tu, jioni hakuna anayetumia sababu watu wameshafunga maduka kama una mtu unaemjua anakupigia pande.
Alternative hotel almost zote za upanga, ile obey mpaka masaki zina wifi sema nyingi ni 10mbps, kama una file kubwa unakesha. Kuna app za password za wifi playstore kama kumbukumbu zipo sahihi Wanaonesha na speed ya wifi husika.
Mkuu, jina la hizo Apps tafadhali
Dah! Wamebadilisha siku mbili hizi maana juzi tu niliicheki ilikuwa 50 GB!
Mtandao gani huu?Kwa wenye nguvu
Kuna unafuu hapaView attachment 1992136
HalotelMtandao gani huu?
Naipataje?Halotel