mtume wawatu
JF-Expert Member
- Oct 30, 2016
- 1,053
- 1,199
Mitandao yote dakika zipoSijawakaribisha mkuu, huko ndio tunapopataga config files na kushea na Wanae hapa ili kila mtu afaidike. Ondoa negativity mkuu
Mitandao yote dakika zipoSijawakaribisha mkuu, huko ndio tunapopataga config files na kushea na Wanae hapa ili kila mtu afaidike. Ondoa negativity mkuu
Check ur pm mkuuMitandao yote dakika zipo
Kama una vifurushi vya halotel nizame pm mkuu.Check ur pm mkuu
Vifurushi hakuna mkuu ila Kuna hat files nataka nizijarubu hapa nitaleta mrejeshoKama una vifurushi vya halotel nizame pm mkuu.
Halotel wahuni hawa walikua na vifurushi bomba sana kwenye mega na youtube juzi hapo wamevipiga panga vyote kimya kimyaVifurushi hakuna mkuu ila Kuna hat files nataka nizijarubu hapa nitaleta mrejesho
Ni free kabisa mkuu tunakua tubabembea tuHalotel wahuni hawa walikua na vifurushi bomba sana kwenye mega na youtube juzi hapo wamevipiga panga vyote kimya kimya
Hizo hat files zikitiki zinaleta unafuu kwenye bando?
Una za mtandao gani?Ni free kabisa mkuu tunakua tubabembea tu
Mkuu fanya hivo basi tusereze kweny ganda la ndizi si unajua tenaVifurushi hakuna mkuu ila Kuna hat files nataka nizijarubu hapa nitaleta mrejesho
Jmn mteja huyu hapa mnaaubir nn... Mkuu mi niliungwa mwezi huu huu na mambo yako byee, wafate hao nilio waandika hapo kweny comment
ati sina sifa ya kuwa kwenye ofa hiiBoss Unapiga *149*42#
Naona wengi wanaunga voda na nilipo internet ya voda haiko vizuri japo napata network yao ya 4g+.Vifurushi hakuna mkuu ila Kuna hat files nataka nizijarubu hapa nitaleta mrejesho
Jmn kuna hiki kifurushi kipya wamezindua ttcl una unachagua ww mwenyewe nini unataka kama ni mb unaandika unataka ngap dakika na sms zote hivo ivo unajaza unataka kiasi gani kisha wakakupa bei yake kisha ndo unalipia kwa njia ya ttcl pesa au salio la kawaida ni ww tu
Ona hapo kweny picha nmejaribu kununua cheki bei zake View attachment 2028036View attachment 2028037View attachment 2028038View attachment 2028040
Ajaribu mtu mwingine mi kwa leo sijaiweka laini ya ttcl ktk cm kwa leoJaribu hii wataleta shilingi ngapi
Mb 1024
Sms 0
Sms 0
Jaribu hii wataleta shilingi ngapi
Mb 1024
Sms 0
Sms 0
Asante mkuu kwa kutambua thaman yangu huduma bado ipo Malipo Ni baada ya kaziHakuna cha utaperi wala nn sisi wengine tunafaidi uwepo wa hawa watu na tunakuka matunda yao ndio maana unaambiwa ulipe baada ya kuungwa huduma mimi nimeungwa na vifurushi aina 2 cha gb na call na mtu ambae hata alikuwa hapigiwi debe kuwa ni mwaminifu ila aliniunga huduma zote 2 kwa wakat tofauti na nimelipa baada ya kuungwa na zote ziko poa sana free call tigo miaka miwili na gb72 kwa mwaka kila mwezi gb6 mtu huyu ni Mr kiuno wengine walio tajwa na Chief mkwa kuwa ni waaminifu ni donlucchese na Pengobovu kwa iyo we kama huamini acha hakuna wa kukulazimisha
Hiki kipo bombs Sana hasa kwa dakika yaan Dak 20 kwa cent 86 uwiiii ukiunga za buku 20 unamsahau Kama Kuna kuweka vocha maana dakika hazina limit ya mda.