Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Jmn kuna hiki kifurushi kipya wamezindua ttcl una unachagua ww mwenyewe nini unataka kama ni mb unaandika unataka ngap dakika na sms zote hivo ivo unajaza unataka kiasi gani kisha wakakupa bei yake kisha ndo unalipia kwa njia ya ttcl pesa au salio la kawaida ni ww tu

Ona hapo kweny picha nmejaribu kununua cheki bei zake
Screenshot_20211126-151847.jpg
Screenshot_20211126-152102.jpg
Screenshot_20211126-151639.jpg
Screenshot_20211126-151352.jpg
 
Jaribu hii wataleta shilingi ngapi
Mb 1024
Sms 0
Sms 0
Jmn kuna hiki kifurushi kipya wamezindua ttcl una unachagua ww mwenyewe nini unataka kama ni mb unaandika unataka ngap dakika na sms zote hivo ivo unajaza unataka kiasi gani kisha wakakupa bei yake kisha ndo unalipia kwa njia ya ttcl pesa au salio la kawaida ni ww tu

Ona hapo kweny picha nmejaribu kununua cheki bei zake View attachment 2028036View attachment 2028037View attachment 2028038View attachment 2028040
 
Hakuna cha utaperi wala nn sisi wengine tunafaidi uwepo wa hawa watu na tunakuka matunda yao ndio maana unaambiwa ulipe baada ya kuungwa huduma mimi nimeungwa na vifurushi aina 2 cha gb na call na mtu ambae hata alikuwa hapigiwi debe kuwa ni mwaminifu ila aliniunga huduma zote 2 kwa wakat tofauti na nimelipa baada ya kuungwa na zote ziko poa sana free call tigo miaka miwili na gb72 kwa mwaka kila mwezi gb6 mtu huyu ni Mr kiuno wengine walio tajwa na Chief mkwa kuwa ni waaminifu ni donlucchese na Pengobovu kwa iyo we kama huamini acha hakuna wa kukulazimisha
Asante mkuu kwa kutambua thaman yangu huduma bado ipo Malipo Ni baada ya kazi
 
Back
Top Bottom