msukuma fekero
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 2,285
- 2,969
Tatizo lenu na nyie siyo waaminifu maana wengi waliotaka kulipa baada ya kuungwa walikimbia na hela hawakutoaAiseee mimi sijakataa kwamba waaminifu hawapo ila kikubwa mimi kufanya hii kitu labda niungwe kwanza hata sasa hivi niko tayari na hela ipo na haina kazi imesubiri kazi kama hizo mkuu
Tatizo lenu na nyie siyo waaminifu maana wengi waliotaka kulipa baada ya kuungwa walikimbia na hela hawakutoa
Mkuu acha ubishi watu wa humu hasa hao nilio wataja kweny comment namba 4013 wako poa sana hao wa insta, WhatsApp sjui telegram hamna kitu ni mataperi kabisaa waziwazi wengine unakuta wanakupa link ujoin kweny group zao ila group hamna mwanachama anaruhusiwa kuchangia chochote unakuta mimefungwa ni admn tu anaweza kuandika kitu mkaona sasa kwa mfano ukisha ona dalili kama hizo yaani hapo bado hujashituka tu kuwa unapiwa?? Kama sio taperi kwann afunge group watu wakauliza maswali na kuleta mrejesho wa kuuungwa ama kutapeliwa kama hapa?? Mimi mwenyewe huwa nawaona sana huko insta tena vifurushi vyao vinatamanisha sana gb nyingi kwa pesa kiduchu kwa ivo kuwa makini usiwe mbishiAaaaaah kwani tapeli si tapeli tu hata angekua humu nimejaribu kukuonesha kwamba hizi biashara wapo waongo sana na mimi sijawahi pata mkweli aiseee
Kabisaa mkuu asome uzi wote aache kurukia uzi tena walitajwa na mtu mkubwa na tunae mheshimu sana humu @chiefmkwa lakini pia hata sisi wengine hamna mtu alisha wahi leta Malalamiko hapa eti katapeliwa na mtu wa kweny huu uzi kama yupo alete ushahidi tumuumbe mhusika si hapa ni kusaidiana tu na kupunguziana ukali wa maisha coz hawa watu wa mitandao ya simu sio ndugu zetu.Kwenye huu uzi walishatajwa watu wa uhakika na waaminifu au hujausoma uzi wote unaamua kutuchosha tu
Mkuu fafanua uweke wazi watu wanataka huduma kama hizi ila huwashawishi coz kila anaeuliza una mwambia aje pm haya mambo ya njoo pm huwa watu wanayaogopa mkuu ila ukiweka hapa utawavutia na wengine wengine mfano mi nataka kujua ni free unlimited kwa mda gani na kwa tsh ngapi au kama kuna alieungwa na huyu mshikaji alete hapa mrejesho watu tupate hudumaPata Gb Unlimited TTcl kwa mwezi mzima. Kwa shilingi 10k tu kama unahitaji nicheki Pm. Nikuunge.
Mkuu fafanua uweke wazi watu wanataka huduma kama hizi ila huwashawishi coz kila anaeuliza una mwambia aje pm haya mambo ya njoo pm huwa watu wanayaogopa mkuu ila ukiweka hapa utawavutia na wengine wengine mfano mi nataka kujua ni free unlimited kwa mda gani na kwa tsh ngapi au kama kuna alieungwa na huyu mshikaji alete hapa mrejesho watu tupate huduma
Nani uyo kakupiga kwa nini usi mtaje na ushaidi. unabaki kuzunguka zunguka tu .Aiseee nilishapigwa sana yaani mimi kuamini labda niunge kwanza nikiona kifurushi haipiti hata dk 2 natuma pesa yako na wote tunarudisha mrejesho hapa ukumbini aiseee
Nani uyo kakupiga kwa nini usi mtaje na ushaidi. unabaki kuzunguka zunguka tu .
Mteja mwingine huyu hapa yule jamaa wa kuunga ttcl kapotelea wapi[emoji848][emoji23][emoji23]Nahitaji GB za kutosha voda
Harufu siyo kabisa hapo kuna kupigwa kipigo cha mbwa koko mjihadhari machale yamenichezaMkuu fafanua uweke wazi watu wanataka huduma kama hizi ila huwashawishi coz kila anaeuliza una mwambia aje pm haya mambo ya njoo pm huwa watu wanayaogopa mkuu ila ukiweka hapa utawavutia na wengine wengine mfano mi nataka kujua ni free unlimited kwa mda gani na kwa tsh ngapi au kama kuna alieungwa na huyu mshikaji alete hapa mrejesho watu tupate huduma
Yule wa ttcl ni tapeli full mjihadhari naye msije sema hamjaambiwa shauri zenuMteja mwingine huyu hapa yule jamaa wa kuunga ttcl kapotelea wapi[emoji848][emoji23][emoji23]
Sawa mkuuYule wa ttcl ni tapeli full mjihadhari naye msije sema hamjaambiwa shauri zenu
Wakubwa,
Tukumbuke kwamba bando za 'michongo' sio official hivyo katika kuungwa subira huitajika. Unaweza ukaambiwa from the kitchen kwamba mambo yako hewani au siku flani kinaungwa then isitokee hivyo ndiomaana naepuka mtu kufanya payment pasipo kua na uhakika kwamba itakubali
Mkuu ww tunakuamini sana wape vijana huduma wapunguze gharama za maishaWakubwa,
Tukumbuke kwamba bando za 'michongo' sio official hivyo katika kuungwa subira huitajika. Unaweza ukaambiwa from the kitchen kwamba mambo yako hewani au siku flani kinaungwa then isitokee hivyo ndiomaana naepuka mtu kufanya payment pasipo kua na uhakika kwamba itakubali
Mkuu nime ku pm, please njooo tuyajenge.Offer Za VodaCom
Pata Gb 16 Za Internet Za Mwezi 1 Kwa Tsh.19,500.Tu.
Pata Gb 7,Dk 1200(Yote) & Sms 200 Kwa Mwezi 1 Kwa Tsh.19,500.Tu.
Pata Gb 23,Dk 1200(Yote) & Sms 200 Kwa Mwezi 1 Kwa Tsh.37,000.Tu.
Pata Gb 32 Za Internet Za Mwezi 1 Kwa Tsh.37,000.Tu.
Pata Gb 48 Za Internet Za Mwezi 1 Kwa Tsh. 56,000.Tu.
Pata Gb 64 Za Internet Za Mwezi 1 Kwa Tsh. 74,000.Tu.
Note..Bei Haipungui Kwa Kila Package..!
Mbona watu tumeungwa mkuu jaribu kuangalia watu waliokuwa recommended humu na watu wengi.Aaaaaah kwani tapeli si tapeli tu hata angekua humu nimejaribu kukuonesha kwamba hizi biashara wapo waongo sana na mimi sijawahi pata mkweli aiseee
Mkuu nimekupm lakin naona umepotea. Ama huduma umeshapataOkay haya ndio mambo safi kwa ufafanuzi mkuu kwahiyo tuvumilie
Hapana mkuu kwangu Ni tgo TU. Na wale wanaotaka uwakala mitandao yote njoo pm hapo hapo ulipo unapata till yako kikubwa uwe na tin nambaSijapotea mkuu nilikujibu ulinambia labda tigo mimi nilikua nataka Voda au Halotel kama vipo hata sasa hivi itapendeza.