Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,742
- 1,558
Wezi wamekuja kutumia fursa ya bando, tuwe makini.Mkuu hawa watu wa vifurushi mungu anawaona mimi nilishatuma hela sana lakini napigwa tu juzi nimetuma 17,000/= lakini nimepigwa
Yeyote mkuuDuh. Kupitia laini mpya au ya zamani?
Hiyo bei yake mbona juu sanaDaaah Nilijiunga Mwezi huu Mwanzoni Kwa 45 elfu GB 23. Ningejua Mapema Ningenunua Huku. Anyway Vipo Mkuu Vifurushi hivi ni Endelevu ili Mwezi Huu ukiisha Nikutafute!?
Itabidi ninunue ttcl sasa maaana hivi vifurushi vitanifilisiNaonganisha TTcl kwa mwezi Elfu 10 Pm me kama unahitaji GB unlimited
😃dah jamaa kakutumia kabisa na picha inadownload, pole mkuuMkuu biashara ilianza insta ikahamia whatsapp lakini jamaa hadi kaniblock aiseeeView attachment 2059134
View attachment 2059135
[emoji2]dah jamaa kakutumia kabisa na picha inadownload, pole mkuu
Yes maana tin namba huwa Ni moja tuTIN namba ni ya kibiashara au ata individual- Non busness?
Vipi umemcheki pm? Anasound gani?Mzee wa TTCL chupli chupli
Mkuu mm Nina tgo TU hzo zingne kwa Sasa Sina mkuuMr kiuno na Chief-Mkwawa nahitaji package za Halo na voda nichek pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida yakoTtcl ofa bado ipo GB unlimited kwa mwezi mzima kwa 10k. Tu yani Elfu kumi tu. Pm me kama unahitaji Ofa hiii.
Taperi huyu achananeni nae atawaliza kila mtu anamwambia njoo pm kuna nn cha ajabu huko pm kama sio kuibiana na kutapeliana, kama ni uongo kuwa sio taper wajitokeze hata watu wa3 watoe ushuhuda kama wamepata huduma kwa huju jamaa mzurulaji, kama unatoa huduma ya kweli basi unajikosesha hera mwenyewe unga hata watu 2 tu kisha waje hapa watoe ushuhuda na uone utakavo piga hera watu watakufata uwaunge mpaka utawakimbia mwenyewe kwa wingi wao.. Lakin bra bra nyingi hamna kitu.Shida yako
Huwezi kuunganisha mpaka upewe hela
Mbona wengine ukipata huduma ndio unalipia.
Mimi nlikuchek whatsapp kwa namba 0764...9400 umegoma
Huyu ni tapeli nasisitiza tena hamna kifurushi kama hicho dunianiShida yako
Huwezi kuunganisha mpaka upewe hela
Mbona wengine ukipata huduma ndio unalipia.
Mimi nlikuchek whatsapp kwa namba 0764...9400 umegoma
Issue sio 5kNjoo na 5k nikuunge kama ofa uwe shuhuda kwa wenzako.
Kama ni kweli we muunge alete ushuhuda hapa,akikimbia tutamdhamini. Unashindwa risk 10K kwa ajili ya marketing something [emoji226]Hii ukiungwa umeungwa kaka haina test.
Waunge hao kwanza tuamini.Kuna mtu nimemuunga tayari atawaletea ushuhuda me sina haraka.
Speed yake ?Kuna mtu nimemuunga tayari atawaletea ushuhuda me sina haraka.