Sisi tunakusubiri ujitose utupe mrejesho kakaWakuu naombeni kujua, Kuna page moja insta inatangaza kuhusu vifurushi, naomba kujua ni wakweli ama matapeli. Wanatumia jina vifurushi.View attachment 2153333
Akili kichwani mwakoWakuu naombeni kujua, Kuna page moja insta inatangaza kuhusu vifurushi, naomba kujua ni wakweli ama matapeli. Wanatumia jina vifurushi.View attachment 2153333
Majambazi hao bossWakuu naombeni kujua, Kuna page moja insta inatangaza kuhusu vifurushi, naomba kujua ni wakweli ama matapeli. Wanatumia jina vifurushi.View attachment 2153333
Mkuu, nimefuatilia sana jambo lako leo nimejaribu nimefanikiwa. Shukran sana umetuokoa na mengi.Support with screenshots tujue tunakusaidiaje
Mtumie ata ya vocha mkuu kama ni kweliMkuu, nimefuatilia sana jambo lako leo nimejaribu nimefanikiwa. Shukran sana umetuokoa na mengi.
Majambazi hao boss
Cheza kwa step buddah
Ndio mkuuso unaweza endelea tumia unavyojisikia mpk mwezi uishe?
Kama inakubali ku-update simu na hata ku-download vitu vidogo baada ya hizo GB kuisha basi kinafaa sanaNdio mkuu
Hongera sana mkuu.Mkuu, nimefuatilia sana jambo lako leo nimejaribu nimefanikiwa. Shukran sana umetuokoa na mengi.
Nichek watsap mkuu nikuelekeze zaidi 0744 033 555Nimefanya yote Ila bado internet imegoma kuaccess ktk simu yangu
😅😅😅😅😂😂😂Kwa sababu haujatoa shukurani Kwa Get Rich
Kuna mida ufanisi unakuwa juu zaidi haswa kuanzia 5 ,6 usiku na kuendelea ikizingua zima data na Vpn tulia kdg kisha washa tena au badilisha server ikizingua US 1 nenda na US 2 hizo ndio kali .wakuu naona imekubali,ila mbna kama youtube inagoma goma sana
✔︎✔︎Hivi Ni Laini Ya Tigo Ndo Inatakiwa Iwe Haina Mb?
Nimegundua kuna mda inagoma kabisa kujiconect ikifikisha kama 2.6Gb. Sasa sijui ni kwangu tu?✔︎✔︎