Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Ngoja niingie Lab kufanya utafiti nije na chimbo jipya tuendelee kufaidi mema ya nchi.
 
Ngoma imevuma imepasuka watu hawajui kukaa na vitu kimya kimya unakuta mtu anapost siri zote bila kujua kuwa wahusika wanaona na waziba mirija mi binafsi tokea 2014 hadi leo natumia ila hukuti watu wanaongea ovyo ovyo...sasa wameshablock ukipata njia itumie kimya kimya ukiweka public kufungwa ni dk 0
 
Kwa hiyo hutaki na wengine wafaidi au? Acha roho ya Kwa nn wewe.
Miafrika Kwa roho mbaya bana. Kitu chenyewe cha bure halafu unaleta roho za kimasikini hapa
 
Wewe uliijuaje?
 
spidi yake si kitoto wakaona hapana dah roho imeuma sana. Hiyo tunnel sina mzuka nayo kabisa, sky nilidownload hadi kwenye PC nikawa naunga hahaha
Sky spidi yake siyo ya kitoto kila kitu mwake mpk niliona upumbavu kuweka vocha.
 
Miaka yote hiyo duu
 
Mbona hadi sasa natumia Sky tena wameniongezea kipengele cha Kufind Code alaf wanakupa 200mb....

Nyie imezingua wapi???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…