Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Nendeni mkapigwe na jamaa huko pm
Kapigwe wewe mkuu Mimi mshikaji nilimuonya toka awali namna anavyoshare maana alishindwa kujua saikolojia za wabongo!. Hizi issue ni za kutulianazo ukipata na unashare na mtu ambae ni intelligent enough sasa mtu anaenda kuwatambia tigo..🤣🤣
What a fucking way!.


Enjoy yourself.
 
Nimejifunza

😅😅😅😃😃
 
Kwa hiyo hutaki na wengine wafaidi au? Acha roho ya Kwa nn wewe.
Miafrika Kwa roho mbaya bana. Kitu chenyewe cha bure halafu unaleta roho za kimasikini hapa
Tatizo yule unayemsaidia ndiye anakuharibia mkuu
 

 
mkuu kwa halotel hakuna maujanja kama hayo?
 
Nendeni mkapigwe na jamaa huko pm
Mkuu ina maana hata hio Free sky waliokua wanatumia wadau humu nilichaji hela?

Wadau waliouona wema wametoa sadaka zao

Basi tu ni vile nimekwama na jambo langu hapa nilihitaji nifikishe 100,000 niweze kwenda mahali fulani kwa shughuli muhimu ya kimaisha.

sikua na kitu mfukoni.

niliomba sadaka indirectly lakn kimoyo moyo nilibanwa na bado nimebanwa hasa.

Thanks guys for the love and support
 
Thanks a lot Friends.

we enjoyed a lot being there.

kitonga kingine kikipatikana nita share na wana hapa hapa
View attachment 2170352
Kwahyo mmeanza kutumiana meseji za mihamala, wekeni ofa hizo wadau.. sie wenyewe ni Makapuku tu na hatuna hela tunataka vitonga, nyie tuwape hela tena..
Sio poA wadau tushee tu upendo, mifuko imetoboka sana, just imagine me Sina hata buku 5 Leo hii hapa kiongozi alafu bado VPN zinazingua piA
 
Mkuu hamna alieuziwa vpn.

watu waliitumia sana humu kabla haijafungiwa, ndio hao wanaotumiwa % za shukrani.

so dont feel bad. Nikipata nyingine nai share humu kiroho safi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…