Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Endelea kujifariji na slow DNS yenu
Hizo slow DNS zenyewe sijui hata maana yake hata zinavyo fanya kazi sijui.Endelea kujifariji mwenyewee Mkuu! Watu tunapeta tu.

Seems una hulka ya kike plus u selfish.

Endelea na uchawi wako mkuu na kuwanga kwenye hii thread.
 
Chief-Mkwawa eti wapi naweza pata usb earphone yenye mic na ni how much
Online ama madukani?

Online mkuu store zote za kampuni kubwa za Kichina kama Oneplus, Rock, Redmi etc aliexpress utakuta usb type C version ya Model maarufu.

Pia samsung wanazo Akg za usb, sema hizi chomoa mwenyewe kwenye box la simu ama nunua kwa Samsung wenyewe maana clone zake zimejaa kibao aliexpress na mtaani.

Kwa hapa Tz angalia zoomtanzania zipo nyingi tu
 
Hapana nataka za pc mkuu hizi kama ambazo wanatumia wale watu wa customer care
 
Hapana nataka za pc mkuu hizi kama ambazo wanatumia wale watu wa customer care
Unamaanisha headphone/headset sio?

Niliwahi kuzioa ms Meghji mjini kama miaka 2 hivi, kwa 70,000.

Naziona zoomtanzania Zipo search usb headset zitakuja sema bei ndefu 120k kupanda. Heapdphone hio hio amazon ni $20.
 
Unamaanisha headphone/headset sio?

Niliwahi kuzioa ms Meghji mjini kama miaka 2 hivi, kwa 70,000.

Naziona zoomtanzania Zipo search usb headset zitakuja sema bei ndefu 120k kupanda. Heapdphone hio hio amazon ni $20.
Duh asante mkuu ngoja nchek
 
Hapana nataka za pc mkuu hizi kama ambazo wanatumia wale watu wa customer care
Pia mkuu kama hujali used kuna mama fulani hivi mwarabu Agrey kule wanapouza simu yeye anadeal na mitumba tu, unaweza bahatisha maana taka taka zote yeye anabeba tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…