Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Siku hizi internet majanga sana, mi nakomaaga na ya office tu nashusha vitu vyangu Kisha narudi kitaa, sema naonaga bill inakujaga 11-13M monthly I'm not sure kama ni kweli au wanatupiga ila wahasib ndo wata deal nao mi natumia tu
Upo kama mimi tu shughuli zote namaliziaga ofisini kabisa, uzuri ofisini kuna both WiFi Hotspot na Fiber internet zote za kasi ya mpaka 100 Mbps so ni umeme sabu hata users tupo chini ya 15 na wengi wao ni wazee wa kupost status na insta tu! nikirudi om hata bando la internet la 1000 linanitosha kwa week..
 
Siku hizi internet majanga sana, mi nakomaaga na ya office tu nashusha vitu vyangu Kisha narudi kitaa, sema naonaga bill inakujaga 11-13M monthly I'm not sure kama ni kweli au wanatupiga ila wahasib ndo wata deal nao mi natumia tu
Mh office ina deal na nn
 
Hivi wale jamaa wanaounga bando la internet Kwa siku 14 alafu linajirudia Kwa mwezi unaofuata ni kweli hicho kifurushi kipo na kinafanya kazi? au nataka kupigwa na kitu kizito wadau? Nielewesheni juu ya hili
Kipo kwa Tigo... ila hakikisha anayekuunga mnafahamiana vizuri
 
VODACOM PACKAGE

SIKU YA KUUNGA NI TAREHE 18/06/2022

NB.VIFURUSHI VYOTE NI VYA MWEZI MMOJA TU.

1.Pata GB 16 Kwa Tsh.20,000.

2.Pata GB 7 & Dk 1200{ Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.20,000.

3.Pata GB 32 Kwa Tsh.40,000.

4.Pata GB 23 & Dk 1200{Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.40,000.

5.Pata GB 14 & Dk 2400{Yote}+Sms 1000 Kwa Tsh.40,000.

6.Pata GB 48 Kwa Tsh.60,000.

7.Pata GB 39 & Dk 1200{Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.60,000.

8.Pata GB 21 & Dk 3600{Yote}+Sms 1500 Kwa Tsh.60,000.

Nb.Pia Gb 64, Gb 80,Gb 96 & Gb 112 Na Kuendelea Zinapatikana..Lakini Kila GB 16 ni Tsh.20,000.
 
Nasubiri hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…