Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu



Airtel hawana vifurushi kama hivyo
 
Mimi nina swali. Hivi kuna vendor yeyote amehost 5G hapa TZ?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ttcl Adsl kuanzia Ubungo Mataa kuelekea Kimara, Mbezi Mwisho nk haipo, wanadai raia walishaharibu miundombinu.

Ttcl fiber kwenye maeneo hayo wanasema wanamsubiri mzabuni alete vifaa ndio wataanza kuwafungia waliofanya maombi tayari.

Wanachofanya kwa sasa ukienda unajaza form yao, kisha unasubiri mafundi wanaofanya survey ya kila Jmos na Jpili.

NB: Kama ttcl wameshindwa kucover fiber Dar tuu, kimkoa kidogo namna hii, sijui huko mikoani watakuja wafikiwe lini.

 
Mkuu me nlipiga hiyo namba ulioweka hapo juu,tangu tarehe30 mpaka leo sijapata na nlipitia hatua zote alizonipa huyo dada,

Nimehesabu kama nimedondosha tu hiyo 27K.
Bora mmeanza kuleta feedback.
 
Mkuu me nlipiga hiyo namba ulioweka hapo juu,tangu tarehe30 mpaka leo sijapata na nlipitia hatua zote alizonipa huyo dada,

Nimehesabu kama nimedondosha tu hiyo 27K.
Mi naona huu uzi ufutwe tu matapeli ni wengi
Humu kila mtu anamachungu yake ya kimy kimya
Bora mtu uende vodashop na tigoshop ukapambane nao physically hata kama utatoa hela nyingi lakini huduma utapata.
NB: Humu ndani ni matapeli kueni makini
Nyie haunga vifurushi ipo siku yenu mnakula majasho ya watu
 
Mkuu me nlipiga hiyo namba ulioweka hapo juu,tangu tarehe30 mpaka leo sijapata na nlipitia hatua zote alizonipa huyo dada,

Nimehesabu kama nimedondosha tu hiyo 27K.
Kuna shda kdg nliongea nae wanadai Kuna shda kdg soon watakuja stable mkuu
 
Kuna shda kdg nliongea nae wanadai Kuna shda kdg soon watakuja stable mkuu
mnajificha mpaka mtu aje kulalamika hapa mnatoka kusikojulikana
Toeni tamko huduma inasumbua kuna harufu ya wizi
 
Soma lengo la kuanzishwa kwa uzi badala ya kukurupuka kutaka ufutwe,uzi huu una madini mengi,kutapeliwa ni akili yako tu ukitaka kutapeliwa unatapeliwa. Watu wameshaelekezwa kwenda ofisi za mitandao husika kupata vifurushi nafuu ila bado tu wanaona uvivu na kutafuta shortcut.

Mkuu kama una ugomvi na muanzisha uzi nenda kamalizane nae PM na sio kuleta husda hadharani

#ikikuumamezawembe
#Povuruksa
 
mfano nikienda tigo shop Gb 15 wanaweza kunipa kwa shingapi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…