mfano nikienda tigo shop Gb 15 wanaweza kunipa kwa shingapi..
Ttcl Adsl kuanzia Ubungo Mataa kuelekea Kimara, Mbezi Mwisho nk haipo, wanadai raia walishaharibu miundombinu.
Ttcl fiber kwenye maeneo hayo wanasema wanamsubiri mzabuni alete vifaa ndio wataanza kuwafungia waliofanya maombi tayari.
Wanachofanya kwa sasa ukienda unajaza form yao, kisha unasubiri mafundi wanaofanya survey ya kila Jmos na Jpili.
NB: Kama ttcl wameshindwa kucover fiber Dar tuu, kimkoa kidogo namna hii, sijui huko mikoani watakuja wafikiwe lini.
View attachment 2377781
Usiogope mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ulikuwa unataka kusemaje mkuu
Nipe darasa la hii kitu mkuu.Post paid unaungwa na unapata GB zako hapohapo,embu jaribu kuwasiliana nao
Naomba darasa la hii kitu mkuu.wajinga jana et ndo wmewekea afu gb 4 wanasema et kisa katikati ya mwezi mwezi ujayo ndo watatoa 8gb afu nalipia 8000
Tigo hawawezi kutengeneza graphics za hivi. Hata alignment tu imewashinda. Yan kichwa cha habari tu ni picha transparent.😂😂TIGO business pack
Nawaletea karbu apa unlimited bundle za tigo sio lazima uende tigo shop tunakuosogelea karibu kabisa
Kindly check me through
+255717562220View attachment 2371640
Una maana gani?Tigo hawawezi kutengeneza graphics za hivi. Hata alignment tu imewashinda. Yan kichwa cha habari tu ni picha transparent.[emoji23][emoji23]
Yani bango hilo alilolitumia sio la tigo wamelitengeneza tu kwa quality ndogo. Ukiwa graphics designer utaelewa.Una maana gani?
Niliungwa ndio nikalipa,hata mwezi hujakata huduma ikakoma.Wakuu kuna mtu anaitwa mambo ya nyakati amenitapeli sh 20,000 kwa makubaliano kwamba nimtumie aniunge kifurushi.
Nilikuja kutoa onyo hapa ili watu wengine wasimtumie kabla ya kuunganishwa na huduma, Sasa imekuwaje sizioni hizi charting zetu ambazo zilikuwa hapa leo?
Je zimefutwa au imekuwaje hazionekani?
Maxence Melo
Tapeli mwingine huyu hapa,kama unabisha sema SuuuuTIGO business pack
Nawaletea karbu apa unlimited bundle za tigo sio lazima uende tigo shop tunakuosogelea karibu kabisa
Kindly check me through
+255717562220View attachment 2371640
Leta proof tuoneTapeli mwingine huyu hapa,kama unabisha sema Suuuu
We na mtu wako mmeniingiza hasara,ngoja kesho nikafuatilie tigo kama ntapata hela yangu nloituma kwenye tigo businessLeta proof tuone
leta mrejeshoWe na mtu wako mmeniingiza hasara,ngoja kesho nikafuatilie tigo kama ntapata hela yangu nloituma kwenye tigo business
kalibia vpn zote saizi wamezifunga hazifanyi kazi tena watu wahangaika na vocha
Nadhan wamebadili ilikuwa *148*30*22# vifurushi vilikuwa tofaut na vya kawaida but sahivi ni vya kawaida tuKuna Menu ya Ttcl ya kupata vifurushi nafuu tofauti na menu kuu anayejua naomba anipe maana nilipata humu na ilisaidia sasa nimeisahau..
VPN zipo usipotishe umma....kuna wire tun for TIGO na TTCL zinafanya kazi freshkalibia vpn zote saizi wamezifunga hazifanyi kazi tena watu wahangaika na vocha