Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Ttcl Adsl kuanzia Ubungo Mataa kuelekea Kimara, Mbezi Mwisho nk haipo, wanadai raia walishaharibu miundombinu.

Ttcl fiber kwenye maeneo hayo wanasema wanamsubiri mzabuni alete vifaa ndio wataanza kuwafungia waliofanya maombi tayari.

Wanachofanya kwa sasa ukienda unajaza form yao, kisha unasubiri mafundi wanaofanya survey ya kila Jmos na Jpili.

NB: Kama ttcl wameshindwa kucover fiber Dar tuu, kimkoa kidogo namna hii, sijui huko mikoani watakuja wafikiwe lini.

View attachment 2377781

Nilikutana nao site mafundi wanapeleka fiber kwenye ofisi za nida huku morogoro nikawahuliza kuhusu kupeleka fiber majumbani wakasema iyo huduma bado kwa sasa
 
TIGO business pack
Nawaletea karbu apa unlimited bundle za tigo sio lazima uende tigo shop tunakuosogelea karibu kabisa

Kindly check me through

+255717562220View attachment 2371640
Tigo hawawezi kutengeneza graphics za hivi. Hata alignment tu imewashinda. Yan kichwa cha habari tu ni picha transparent.😂😂
 
Wakuu kuna mtu anaitwa mambo ya nyakati amenitapeli sh 20,000 kwa makubaliano kwamba nimtumie aniunge kifurushi.

Nilikuja kutoa onyo hapa ili watu wengine wasimtumie kabla ya kuunganishwa na huduma, Sasa imekuwaje sizioni hizi charting zetu ambazo zilikuwa hapa leo?

Je zimefutwa au imekuwaje hazionekani?
Maxence Melo
Niliungwa ndio nikalipa,hata mwezi hujakata huduma ikakoma.
 
wakuu Natak Cfg ya hii
IMG-20220930-WA0015.jpg


Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Kuna Menu ya Ttcl ya kupata vifurushi nafuu tofauti na menu kuu anayejua naomba anipe maana nilipata humu na ilisaidia sasa nimeisahau..
 
Wakuu, mtandao gani una intaneti ya wiki ya 1.5GB kwa 2,000?, hali ya vifurushi vya intaneti ni mbaya sana kwa sasa, vipo kwa ajili ya kuwakandamiza wananchi.
 
Back
Top Bottom