Axel Lloyd
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 4,170
- 9,500
HAKUNAWakuu, mtandao gani una intaneti ya wiki ya 1.5GB kwa 2,000?, hali ya vifurushi vya intaneti ni mbaya sana kwa sasa, vipo kwa ajili ya kuwakandamiza wananchi.
Kama una uwezo mkuu 15000 kwa mwezi pambania postpaid Tigo GB 13.Wakuu, mtandao gani una intaneti ya wiki ya 1.5GB kwa 2,000?, hali ya vifurushi vya intaneti ni mbaya sana kwa sasa, vipo kwa ajili ya kuwakandamiza wananchi.
duh!HAKUNA
poa.Kama una uwezo mkuu 15000 kwa mwezi pambania postpaid Tigo GB 13.
Hii roughly ni gb 1.625 kwa 2000 sio mbaya.
HAKUNA
Nilidhani ni kwangu tu,Speed ya Tigo siku hizi imekua ya kobeTigo siku hizi hawana speed airtel kawaacha mbali
napata ukakasi kujiunga postpaid
VPN zipo usipotishe umma....kuna wire tun for TIGO na TTCL zinafanya kazi fresh
Pia kuna ha tunnel plus for airtel zipo fresh
Hii tunnel plus mbona inanishinda kuiset?Sisi wanyonge ndo vitu vyetu.
Hii tunnel plus mbona inanishinda kuiset?
hizi postpaid zinataka wenye ajira maalaum. vipi wemzangu na mimi wenye kazi za kuungaunga?.Kama una uwezo mkuu 15000 kwa mwezi pambania postpaid Tigo GB 13.
Hii roughly ni gb 1.625 kwa 2000 sio mbaya.
Ninavyofahamu ni mpaka uende ofisini.hizi postpaid zinataka wenye ajira maalaum. vipi wemzangu na mimi wenye kazi za kuungaunga?.
mambo ya kwenda ofisini na kuanza kuhojiwa maswali kibao ni miyeyusho, huwezi unganishwa hivi vifurushi vya postpaid in a faster way?
Kwan kaka hii huduma ya postpaid ipo maana niliona mtu ka-comment kama imefungwa baada ya deadline, kwan bado inaendelea?Kama una uwezo mkuu 15000 kwa mwezi pambania postpaid Tigo GB 13.
Hii roughly ni gb 1.625 kwa 2000 sio mbaya.
Hili nimelifanyia observation last week, changamoto sana.Tigo siku hizi hawana speed airtel kawaacha mbali
napata ukakasi kujiunga postpaid
Ipo bado, ila wanataka leseni.Kwan kaka hii huduma ya postpaid ipo maana niliona mtu ka-comment kama imefungwa baada ya deadline, kwan bado inaendelea?
Masharti ya voda na yenyewe yakoje? Kama una uelewaMimi nilienda ofisini, wanataka leseni na TIN
Vodacom sijaenda na sifahamu kama wana hii hudumaMasharti ya voda na yenyewe yakoje?
wanayo..Vodacom sijaenda na sifahamu kama wana hii huduma
Nimejarbu kuwasiliana nao wanasema niwatumie namba yangu, sehemu ambayo nipo na email ila kama kuna ofisi karibu ni vema ukaenda...Masharti ya voda na yenyewe yakoje? Kama una uelewa