Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Mimi mwezi huu nilipata 30gb kw 25 ilikuwa tarehe 1 Oct. Ngoja nione kama 1 Nov watanipa tena 30gb.
 
😆😆😆Kupigwa nje nje , jiangalien sana vijana ,hyo Vpn ni either nayeye anakomaa na net ya bure au ndo anajilinda msije kumtafuta baada ya tukio


Pia ushauri tu Kwa mwamba hizo shots uwe una crop content tu, hapo umeachia info nying sana kuhusu wewe na wadau watanzia hapo kukutafuta
 
Wakuu!! Msaada nilikua nanunua muda wa maongezi tigopesa, badala ya kununua 2500 nikaweka 25000, wazeee msaada nikupe 22000 unipe 15000 plz

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu!! Msaada nilikua nanunua muda wa maongezi tigopesa, badala ya kununua 2500 nikaweka 25000, wazeee msaada nikupe 22000 unipe 15000 plz

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Tigo hawawezi kurudisha?, ishu vocha kwenye simu hazikai bora iwe tigopesa kwenye simu inaweza kukatwa tu bila maelezo ya kueleweka
 
Hivi mimi nimesema naunga au nimetangaza biashara ? Mim nimetuma picha tuuh

Anyway link hiyo [emoji116] hujalazimishwa kuifuata [emoji116]

 
Nimenunua kitochi kwenye maduka , naomba mnipe mwongozo nifanyeje niweze kupata dakika za bure pamoja na gb.
 
Hajapasuka mtu bado??[emoji23][emoji23] Tunasubiri mrejesho

Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
 
Jamani Okoeni jahazi haya Mabundle Yatatuua. nimetoka kwenye free WIFI nipo Pembeni Nachanganyikiwa Kwenye Kujiunga na Bando kila Menu naona ya Moto. GB 1 2000 kwa wiki daaah
mtandao gani huu mbona hii ni afadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…