Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

MREJESHO: kuna Jamaa kama wanne kutoka hapa jf, Nimewapa huduma, kisha wananiblock kisa Buku😂😂...
Yaan 1000/= mtu ananipiga block, Mnashauri nin wakuu?
Noma Sana mkuu uaminifu umepungua ata kwenye kitu kidogo tu,
 
MREJESHO: kuna Jamaa kama wanne kutoka hapa jf, Nimewapa huduma, kisha wananiblock kisa Buku[emoji23][emoji23]...
Yaan 1000/= mtu ananipiga block, Mnashauri nin wakuu?
Lete huduma za Voda boss
 
MREJESHO: kuna Jamaa kama wanne kutoka hapa jf, Nimewapa huduma, kisha wananiblock kisa Buku😂😂...
Yaan 1000/= mtu ananipiga block, Mnashauri nin wakuu?
geosir Wataje waweke hapa hadharani username zao zifahamike hao makanjanja waliokosa haya..kweli ata buku moja mtu anadhulumu na block juu..Pole sana Kiongozi weka username zao hao Matapeli wafahamike
 
TIGO TIGO TIGO
Natoa OFA na HUDUMA
Zifuatazo

1. OFA, Naunga Gb 1 kwa 1000 inadumu kwa siku 3. Unaungwa mara moja tu. hii ni OFA ya mara moja Tu.
Malipo Baada ya Kazi.

Piga/Whatsapp: 0710535327

2. TIGO business.
Kama inavyoonekan hapo chini..
Ni mfumo ambao unakuwa unalipia bili kila mwezi.. unachagua Aina ya kifurushi nakuingiza kwenye mfumo BUUURE!!!

Piga/Whatsapp: 0710535327
View attachment 2577064
Iyo Chini hapo kwenye attachment si ni za SME Airtel? Au ata Tigo wanatoa GB izo izo!?
 
WALE WATIGO SASA MMEFIKIWA.
Natoa OFA na HUDUMA.

1. OFA, Naunga Gb 1 kwa 1000 inadumu kwa siku 3. Unaungwa mara moja tu. hii ni OFA ya mara moja Tu.
Malipo Baada ya Kazi.

Piga/Whatsapp: 0710535327

2. TIGO business.
Kama inavyoonekan hapo chini..
Ni mfumo ambao unakuwa unalipia bili kila mwezi.. unachagua Aina ya kifurushi nakuingiza kwenye mfumo BUUURE!!!

Piga/Whatsapp: 0710535327
Nimekutext mkuu WhatsApp let me be your loyal customer,ila nipunguzie bei mkuu nichukue izo gb 15 swaumu Kali shekh
 
Hatimaye na mimi nimepata huduma ya mwamba geosir nimetest kabisa hii
Screenshot_20230408-173822.jpg
 
MREJESHO: kuna Jamaa kama wanne kutoka hapa jf, Nimewapa huduma, kisha wananiblock kisa Buku😂😂...
Yaan 1000/= mtu ananipiga block, Mnashauri nin wakuu?
Buku hili hili? Voda wanalokupa Mb 350?
Mtu anakosa uaminifu kisa buku? 😂😂😂🙌
 
WALE WATIGO SASA MMEFIKIWA.
Natoa OFA na HUDUMA.

1. OFA, Naunga Gb 1 kwa 1000 inadumu kwa siku 3. Unaungwa mara moja tu. hii ni OFA ya mara moja Tu.
Malipo Baada ya Kazi.

Piga/Whatsapp: 0710535327

2. TIGO business.
Kama inavyoonekan hapo chini..
Ni mfumo ambao unakuwa unalipia bili kila mwezi.. unachagua Aina ya kifurushi nakuingiza kwenye mfumo BUUURE!!!

Piga/Whatsapp: 0710535327
Mimi natafuta ya voda, itapatikana?
 
WALE WATIGO SASA MMEFIKIWA.
Natoa OFA na HUDUMA.

1. OFA, Naunga Gb 1 kwa 1000 inadumu kwa siku 3. Unaungwa mara moja tu. hii ni OFA ya mara moja Tu.
Malipo Baada ya Kazi.

Piga/Whatsapp: 0710535327

2. TIGO business.
Kama inavyoonekan hapo chini..
Ni mfumo ambao unakuwa unalipia bili kila mwezi.. unachagua Aina ya kifurushi nakuingiza kwenye mfumo BUUURE!!!

Piga/Whatsapp: 0710535327
Chief hizi GB unatakiwa kutumia kwa utaratibu upi? Ni kila siku GB kadhaa au ni wewe na matumizi yako
 
Hivi kuingia bila bando kale kauduma Bado kanapatikana?...
 
Back
Top Bottom