Noma Sana mkuu uaminifu umepungua ata kwenye kitu kidogo tu,MREJESHO: kuna Jamaa kama wanne kutoka hapa jf, Nimewapa huduma, kisha wananiblock kisa Buku😂😂...
Yaan 1000/= mtu ananipiga block, Mnashauri nin wakuu?
Lete huduma za Voda bossMREJESHO: kuna Jamaa kama wanne kutoka hapa jf, Nimewapa huduma, kisha wananiblock kisa Buku[emoji23][emoji23]...
Yaan 1000/= mtu ananipiga block, Mnashauri nin wakuu?
geosir Wataje waweke hapa hadharani username zao zifahamike hao makanjanja waliokosa haya..kweli ata buku moja mtu anadhulumu na block juu..Pole sana Kiongozi weka username zao hao Matapeli wafahamikeMREJESHO: kuna Jamaa kama wanne kutoka hapa jf, Nimewapa huduma, kisha wananiblock kisa Buku😂😂...
Yaan 1000/= mtu ananipiga block, Mnashauri nin wakuu?
Iyo Chini hapo kwenye attachment si ni za SME Airtel? Au ata Tigo wanatoa GB izo izo!?TIGO TIGO TIGO
Natoa OFA na HUDUMA Zifuatazo
1. OFA, Naunga Gb 1 kwa 1000 inadumu kwa siku 3. Unaungwa mara moja tu. hii ni OFA ya mara moja Tu.
Malipo Baada ya Kazi.
Piga/Whatsapp: 0710535327
2. TIGO business.
Kama inavyoonekan hapo chini..
Ni mfumo ambao unakuwa unalipia bili kila mwezi.. unachagua Aina ya kifurushi nakuingiza kwenye mfumo BUUURE!!!
Piga/Whatsapp: 0710535327
View attachment 2577064
Nimekutext mkuu WhatsApp let me be your loyal customer,ila nipunguzie bei mkuu nichukue izo gb 15 swaumu Kali shekhWALE WATIGO SASA MMEFIKIWA.
Natoa OFA na HUDUMA.
1. OFA, Naunga Gb 1 kwa 1000 inadumu kwa siku 3. Unaungwa mara moja tu. hii ni OFA ya mara moja Tu.
Malipo Baada ya Kazi.
Piga/Whatsapp: 0710535327
2. TIGO business.
Kama inavyoonekan hapo chini..
Ni mfumo ambao unakuwa unalipia bili kila mwezi.. unachagua Aina ya kifurushi nakuingiza kwenye mfumo BUUURE!!!
Piga/Whatsapp: 0710535327
Ni za tigo hizo mkuu . wameongeza..Iyo Chini hapo kwenye attachment si ni za SME Airtel? Au ata Tigo wanatoa GB izo izo!?
haha... mkuu mm sitoi Gb, tigo ndio wanaotoaNimekutext mkuu WhatsApp let me be your loyal customer,ila nipunguzie bei mkuu nichukue izo gb 15 swaumu Kali shekh
Buku hili hili? Voda wanalokupa Mb 350?MREJESHO: kuna Jamaa kama wanne kutoka hapa jf, Nimewapa huduma, kisha wananiblock kisa Buku😂😂...
Yaan 1000/= mtu ananipiga block, Mnashauri nin wakuu?
Mimi natafuta ya voda, itapatikana?WALE WATIGO SASA MMEFIKIWA.
Natoa OFA na HUDUMA.
1. OFA, Naunga Gb 1 kwa 1000 inadumu kwa siku 3. Unaungwa mara moja tu. hii ni OFA ya mara moja Tu.
Malipo Baada ya Kazi.
Piga/Whatsapp: 0710535327
2. TIGO business.
Kama inavyoonekan hapo chini..
Ni mfumo ambao unakuwa unalipia bili kila mwezi.. unachagua Aina ya kifurushi nakuingiza kwenye mfumo BUUURE!!!
Piga/Whatsapp: 0710535327
Chief hizi GB unatakiwa kutumia kwa utaratibu upi? Ni kila siku GB kadhaa au ni wewe na matumizi yakoWALE WATIGO SASA MMEFIKIWA.
Natoa OFA na HUDUMA.
1. OFA, Naunga Gb 1 kwa 1000 inadumu kwa siku 3. Unaungwa mara moja tu. hii ni OFA ya mara moja Tu.
Malipo Baada ya Kazi.
Piga/Whatsapp: 0710535327
2. TIGO business.
Kama inavyoonekan hapo chini..
Ni mfumo ambao unakuwa unalipia bili kila mwezi.. unachagua Aina ya kifurushi nakuingiza kwenye mfumo BUUURE!!!
Piga/Whatsapp: 0710535327
Mkuu hebu tugawane ujanjaWazee wa basi la taifa kwa Napsternet mpooo? Daah naenjoy sana
Ni Ile kampuni ambayo juzi ripoti ya CAG inasema wanadai bilioni kadhaa ila hawajui wanamdai naniMkuu hebu tugawane ujanja
mpaka sasa haujanipa utaratibu wwte na namba nishakutumia dmNi Ile kampuni ambayo juzi ripoti ya CAG inasema wanadai bilioni kadhaa ila hawajui wanamdai nani
Ngoja nije chiefmpaka sasa haujanipa utaratibu wwte na namba nishakutumia dm
Kwa sasa voda hawana Ofa, ikitokea nitakushtua mkuuMimi natafuta ya voda, itapatikana?
Weww tu na matumizi yako!Chief hizi GB unatakiwa kutumia kwa utaratibu upi? Ni kila siku GB kadhaa au ni wewe na matumizi yako
Chief hizi GB unatakiwa kutumia kwa utaratibu upi? Ni kila siku GB kadhaa au ni wewe na matumizi yako
Vip halotel mkuuKwa sasa voda hawana Ofa, ikitokea nitakushtua mkuu