Tigo ngumu sana halafu haina vifurushi vizurAisee naomba kwa gharama zozote halali anayeweza kuibadili line yangu ya tigo iwe ya chuo
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu kwa positive feedback....pia nmepata Salio lako nashukuru.
Karibun:
Halotel 10000
Vodacom 5000 ni ndani ya dakika 1
a na laini ya chuo unajiunga popote na muda wowote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Iringa pia mbeya unaweza pata huduma.... Laini za halotel za chuo zipo ila bei ni ghari kidogo ni 10,000.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana,popote ulipo,laini ya mtandao gan?Kupata hio line paka uwe iringa na mbeya au sijaelewa?
Mimi nina laini yangu ya voda mkuu inawezekana ukanifanyia maujanja ikawa ya chuo?Asante mkuu kwa positive feedback....pia nmepata Salio lako nashukuru.
Karibun:
Halotel 10000
Vodacom 5000 ni ndani ya dakika 10 tu unakuwa na laini ya chuo unajiunga popote na muda wowote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana,njoo pmMimi nina laini yangu ya voda mkuu inawezekana ukanifanyia maujanja ikawa ya chuo?
Au lazima nipate nyingine?
Mkuu pm yangu haitumi msg tangu jana.
Madam Mwajuma naomba msaada wako wa kuniungia laini na huduma za chuo*149*42# kwa waliosajiliwa kupata ofa hii. Kama una kitambulisho cha mwanachuo njoo inbox nikuunge
Laini za chuo saivi voda wana masharti magum.. Kwanza lazima uwe na kitambulisho cha chuo(valid) na lazima jina ulilosajili laini yako lifanane na jina unalotumia chuo.. Wewe unawezaje mdau, embu kuwa muwazi tu
Mkuu mi naweza na zinafanya kaz vizur kwanza huo usajili unafanywa na nani?, si watu walioajiliwa au?. Kwahiyo unataka nikupe siri ya kaz hii au?. Mi naifanya ukiwa na kitambulisho cha kura tuLaini za chuo saivi voda wana masharti magum.. Kwanza lazima uwe na kitambulisho cha chuo(valid) na lazima jina ulilosajili laini yako lifanane na jina unalotumia chuo.. Wewe unawezaje mdau, embu kuwa muwazi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sawa ngoja nitafute hela ila sasa kitambulisho cha kura ndo sina sasa!Wengi nmeshafanya nao humu JF na hakuna lalamiko halafu good thing malipo ni baada ya kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Madam Mwajuma naomba msaada wako wa kuniungia laini na huduma za chuo
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa, voda, tigo na airtel mpendwa...!!!Mtandao gani? Mi na deal na vodacom, tigo, halotel na airtel. Ila uwe mwanachuo