Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Utaratibu umebadilika hivyo tuma details zifuatazo:
1. I'd ya mpiga kura
2. Namba ya kuwezeshwa uniOffer na
3. Majina yaliyosajiliwa.

Lazima namba yako iwe na usajili KAMILI kama ina usajili wa awali please kakamilishe kwanza.
Piga *106# kuona status ya usajili wako
Piga *149*42# kuona vifurushi vya uniOffer.
Detail tuma kwenye wasapu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani vipi laini ya chuo bila kjw mwana chuo kwa voda!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu kwa positive feedback....pia nmepata Salio lako nashukuru.
Karibun:
Halotel 10000
Vodacom 5000 ni ndani ya dakika 10 tu unakuwa na laini ya chuo unajiunga popote na muda wowote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nifanyie mpango nipate pia ya voda maana ya halotel ninayo
 
Mkuu hivi hizi line za chuo zina kikoma chá miaka? Naomba kueleweshwa tafadhali.
 
Ttcl wadau nimenunua line apa mambo ya 4g fast wake ukoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…