donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Ni VPN unapata free access ila speed itakukera. Uzuri mambo kama jf, wasap, twitter, telegram ni unateleza tu ila YouTube mtihaniMkuu ndyo inakuaje hii?
Mkuu shukran imekubaliKAMA UNATUMIA AIRTEL JARIBU BAHATI YAKO, JIPATIE GB 13 ZA KUPERUZI INTERNET BURE!
Fuata Maelezo Yafuatayo:
[emoji736] Kama Simu yako Ina Laini Mbili, Toa Moja Ibaki Airtel Pekee
[emoji736] Fungua Menu ya Kupiga Simu, Piga *148*91#
[emoji736] Chagua 1 'Activate New Offer'
[emoji736] Weka Agent Number '0785559399'
[emoji736] Subiri Message ya Uthibitisho
Kama Simu yako Ina Vigezo Stahiki Utapewa Ofa yako ya GB 13 za Kuperuzi Internet.
Ikitokea Umepewa Ujumbe 'Ofa hii Haipo Kwenye Simu JANJA hii, Ofa Inapatikana Kwenye Simu Janja MPYA' Basi Sio Bahati yako Mtu wangu, Endelea Kuwa Mpole tu.
Good Day!
Ni kwa simu mpya hasa hata za tigo zinakubali tuu bila hata kutoa lineMkuu nilipewa hint tu na jamaa yangu so sina hakika ni criteria zipi za simu wanazingatia
Zilete MkuuVpm kibao zinapiga mzigo Ila mchawi speed
ZIVPN, hhtp custom, world link proxyZilete Mkuu
Shukrani...ZIVPN, hhtp custom, world link proxy
Sawa mkuu. Ni mtandao gan hii?Ni VPN unapata free access ila speed itakukera. Uzuri mambo kama jf, wasap, twitter, telegram ni unateleza tu ila YouTube mtihani
Samsung ime kataaMkuu jarbu kwenye smu zenye android 13 naona ndyo inakubali me nmejarbu kwenye smu 3 zenye android 13 zmekubali zote ila kwa namba za simu tofautiView attachment 2745711
Me imekubali mbna android 13Samsung ime kataa
Yangu ni android 13 ila ime kataa samsung A32Me imekubali mbna android 13
Simu gani?Asante sana Mkuu, nimejaribu simu ya Android 13 imekubali donlucchese
Hao ni utapeliWakuu vip......,
Gb 10 Tigo( 6.5 social, 3.5 Internet) kwa 10,000 tuu...., Kifurushi kinakaa kwa siku 14
Ni mfumo wa Tigo Mpango ila si mnajua wametushtukia sa hivi hawarudishi tena kila mwezi[emoji23]
Yah nashangaa vile vufurushi vya Tigo Mpango mwanzo nilikuwa naunga kwa watu fresh na vikawa vinafanya kazi ila baadae wakastop kuvitoa tena ikawa mbaya zaidi mpaka wale ambao tumewauzia simu Za Tigo na wenyewe vikapoteaHao ni utapeli
Tigo waache uhuni
Wezi haoYah nashangaa vile vufurushi vya Tigo Mpango mwanzo nilikuwa naunga kwa watu fresh na vikawa vinafanya kazi ila baadae wakastop kuvitoa tena ikawa mbaya zaidi mpaka wale ambao tumewauzia simu Za Tigo na wenyewe vikapotea
Kuja kufuatilia naona walisema ni tatizo wanaweka sawa ila mpaka leo bado hamna kitu
S20,Simu gani?
Mi yangu mbona ni android 13 na imenigomea
Nakosea wapi?
Umepata 13GB complete hapo hapo au ndio mambo ya Joh Makini ya nusu nusu?S20,
1GB kwa wiki mkuu, wiki ya kwanza unapokea 1GB bila masharti, wiki 12 zilizobakia unatakiwa angalau uweke vocha ya buku. Kama unaunga kifurushi cha 1000 mb 490 ina maana kila wiki unapata gb 1.49 kwa 1000 ndio nilivyoelewa.Umepata 13GB complete hapo hapo au ndio mambo ya Joh Makini ya nusu nusu?
Hongereni wakuu1GB kwa wiki mkuu, wiki ya kwanza unapokea 1GB bila masharti, wiki 12 zilizobakia unatakiwa angalau uweke vocha ya buku.