Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Nilipo TTCL waliniambia kwa sasa fiber bado haijafika, nikaona kwa mwendo wao si leo wala kesho kupafikia.
Ukisoma tangazo lao ni kwamba fiber inafika popote pale.

Njia walizokuwa wanatumia kwenye copper zimekuwa advanced, saizi wanaweza kushare nguzo na TANESCO kufikisha sehemu yeyote.

Kwa hiyo wanajifunga kwenye kauli yao wenyewe.
 
Hili sio jukwaa la stori kama vipi waende WhatsApp maana mazungimzo yao yapo kiwasap wasap tu
We utakuwa hujui fiber ni nini

Wenzio huko kwenye mabando ya kupimiwa kwenye kidebe tushatoka saizi tupo kwenye unlimited.

Kama una mchongo wowote ambao unatema package kwa unlimited leta hapa ushee na wadau.

Saizi dunia yote ipo huku.

Kwa mfano leo Voda nao wamezindua SME yao lakini sijaona umuhimu wa kuiposti hapa.

Kwasababu lengo la huu uzi ni kuangalia namna watu wanaweza kuepuka gharama

Sasa angalia hizi package zilivyo

Screenshot_20230912-203342.png


255758001054_status_42640289e0d1489bb1f9cfa89071b0aa.jpg


Mimi binafsi siwezi nikamshauri mtu alipie kifurushi cha namna hiyo na ndio maana kuna baadhi ya watu nime criticize matangazo yao ya vifurushi ambavyo haviendani na motive ya huu uzi kutokana na gharama zake zilivyo.
 
Mnao pigwa na vijana wanao waambia muwape 10k ili waunge sme huo ni uhuni sana ukienda kwenye maduka ya mitandao hiyo huduma ni bure kabisa
Ni kweli kabisa lakini mimi nilienda ofisini wakanipa namba ya mhudumu ili niunganishiwe bure lakini mhudumu hakuwa tayari kunihudumia bure hivyo nikakutana na kijana mmoja anaye sajili laini akanihudumia kwa kulipia
 
Ni kweli kabisa lakini mimi nilienda ofisini wakanipa namba ya mhudumu ili niunganishiwe bure lakini mhudumu hakuwa tayari kunihudumia bure hivyo nikakutana na kijana mmoja anaye sajili laini akanihudumia kwa kulipia
Ni muhimu kufika ofisi ya mtandao husika ili usaidiwe
 
WAKUU VIP?

HEBU NISAIDIENI KIFAA NACHOWEZA KUONGEZA UWEZO WA WIFI YANGU IWEZE KUFIKA MBARI MAANA ILE NJIA ALIO ELEZA CHIEF KWANGU HAKUNA NYUMA INA TUNDU ZA ETHERNET CABLE TU HAKUNA KINGINE
 
WAKUU VIP?

HEBU NISAIDIENI KIFAA NACHOWEZA KUONGEZA UWEZO WA WIFI YANGU IWEZE KUFIKA MBARI MAANA ILE NJIA ALIO ELEZA CHIEF KWANGU HAKUNA NYUMA INA TUNDU ZA ETHERNET CABLE TU HAKUNA KINGINE
Router yako haina hata Lan?

Pia zipo extender za wifi to wifi, hazina quality kama njia ya waya ila zinasaidia pia
 
Back
Top Bottom