Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

kuna mfanyakaz wao alinambia gharama atanieleza siku akija kufanya survey, ndomana nimeuliza ili nipate uhakika.
Fiber ya TTCL ni free hakuna gharama zozote

Labda utoe tu kama rushwa ili kuharakisha mchakato maana tunajua jinsi wanavyo sumbua.

Awali gharama zilikuwepo Ila 2021 walikuja na policy mpya ya #faibamlangonimwako kusambaza internet kila kona ya Tanzania bureee.

TTCL wakaingia makubaliano na TANESCO ya kushea miundombinu ili kuwafikia watu wengi kupitia nguzo za TANESCO.

Ila mpaka uipate hiyo service yao kuna mambo ya kuzingatia

1. Ni eidha uwe unatoka mitaa ambayo tayari kuna coverage yao.

2. Mitaa unayotokea kuwe kuna kiongozi mkubwa maarufu au

3. Au uende ofisini kwao pengine sura yako ikawa inafanana na Kigogo yeyote mkubwa na wewe ukanufaika kwa hilo.
 
asante mkuu.
 
Mi mpaka saizi sijui chakufanya

Kuna muda nabaki ku stream miziki online ambayo tayari ipo kwenye device yangu.

Labda changamoto nayoiona hapa ni upungufu wa storage ya kutosha.

Device zangu zote zimejaa, nipo kwenye process ya kutafuta 2TB flash
Agiza kikuu 9K tuu😃
 
Agiza kikuu 9K tuu😃
Fake hizo moja niko nayo hapa


Hii unayoiona hapa ni 2TB

Hii kuna jamaa alinifanyia delivery nikaitest kwa kuiwekea series zenye uzito wa 57GB zika play zote

Nikamuambia nainunua ila bado naendelea kui test kwasababu njia rasmi ya kui test inachukua muda mrefu nami sitaki nikusubirishe.

Kweli baadae nikaongeza series kadhaa ilipofika tu 90GB ikagoma kuingia.

Nilipofosi zikaingia ila zikagoma ku play

Nikamcheki jamaa, jamaa akasema ananibadilishia nyingine. Ila mi sina imani tena na hizo flash nimeingia woga.

Nimeona bora anipe external hata ya 1TB
 
M
Me ni mtumiaji wa external

Ila flash kuna jamaa yangu kaagiza ipo fresh tuu nadhani alibahatisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…