Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Airtel wana Airtel tv sh 500 kwa siku pia HBO full siku nzima Kama unaishi sehemu network ya Airtel ni nourish na mpenzi wa movie za kimarekani hii iko vizuri,local Chanel ni chanel ten,tbc.
 
Tupe utaratibu mkuu
 
Msaada kuisajili line ya Halotel kawaida kuwa ya chuo pls
 
Hapa naona neno "vifurushi vya chuo" limejiludia mala nyingi, hivi vifurushi vya chuo simpaka uwe na zile line za zao za chuo??
 
Kwa arusha mtandao gani uko vizuri kwenye speed ya internet?!? Maana naona yote kwa upande wangu inasumbua sana internet haswa usiku
 
Airtel wana Airtel tv sh 500 kwa siku pia HBO full siku nzima Kama unaishi sehemu network ya Airtel ni nourish na mpenzi wa movie za kimarekani hii iko vizuri,local Chanel ni chanel ten,tbc.
Ipoje hii?
 
Kwenye Airtel menyu chagua internet then bando ya tv.kuna chaguo la siku ndiyo 500,wiki na mwezi.
 
Kama airtel ni tatizo eneo lako tafuta ttcl nao wanabando inayofanana na hiyo kawa jina la T-TV.Mimi nimetumia T-TV ya mwezi kwa tsh 8000 Matumizi yangu yalifikia kiasi cha Gb 40.
 
Kama airtel ni tatizo eneo lako tafuta ttcl nao wanabando inayofanana na hiyo kawa jina la T-TV.Mimi nimetumia T-TV ya mwezi kwa tsh 8000 Matumizi yangu yalifikia kiasi cha Gb 40.
hapo mkuu unaangalia tv channels bila kikomo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…