Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

272bf549531e550bd4e52472d73fb683.jpg


Hapa ndio airtel wametisha hata kama sio mwanachuo yaani laini ya kawaida unapata vifurushi vya chuo aisee!!!
ndio vifurushi vyangu hivyo wameshaniteka.
 
Hivi jamani hichi kifurushi cha ttcl tv cha 8000 kinakuwaje wale walijiunga? Je unapewa gb au mwendo wa kustream mwezi muzima
 
yangu ni xx44-xxxxxx

Miye Voda nikipiga hiyo *149*03# mpaka jinalangu sikuizi linakuja wananiambia nichague data au dakika. Kwenye data napata Reasonable offer ya 1000 na mb 1020 siku 15 na 2000 mb 1500 kwa siku saba au 1500 mb 1200 kwa siku saba.
 
mbona kama wamepunguza vifurushi mkuu? vifurushi vya zamani unapata vyote kwa pamoja dakika, sms na GB ila vya sasa utachagua baina yao na ukifanya vyote ujue kwengine kutapungua.
Nlvowaelewa voda n kuwa vyte vnapatikana humo humo. Ukinunua units za 1000 utapata mbs dakika humo humo ndo mana ya kupunduka pinduka
 
Nlvowaelewa voda n kuwa vyte vnapatikana humo humo. Ukinunua units za 1000 utapata mbs dakika humo humo ndo mana ya kupunduka pinduka
yap ila piga mahesabu vizuri

masaa 24

-pindua pindua unapata units 1000 kwa 1000

-kawaida unapata mb 500, dakika 55 kwa 500 means kwa 1000 utapata 1GB na dakika 110,

tu reverse dakika 110 na 1GB kwenda units

dakika 110 ni units 110 na 1GB ni units 1000, hivyo jumla units 1110

so zamani ulikuwa unapata kingi na pinduapindua wamepunguza vifurushi, ila kijanja.
 
Hii ni thread ya vifurushi ambavyo sio rasmi kama vya chuo au vifurushi maalum ambavyo vinatoa kiasi kikubwa cha internet, nitalist vifurushi ninavyovifahamu kama kuna wanaojua vyengine watasaidia

Tigo
-1gb kwa shilingi 600

Nunua vocha ya 1000 halafu ingiza mfumo huu *104*namba ya vocha*03# watakukata shilingi 600 na utapewa 1gb ya internet

-Vifurushi vya chuo

Hivi utapata mb na dakika kwa pamoja ila nitaandika tu mb, shilingi 1500 mb500 kwa wiki na sh500 ni mb300 kwa wiki. kujiunga bonyeza *148*01*20# au bonyeza *148*00# kisha chagua vifurushi maalum, itabidi uwe na line ya chuo

Vodacom

-3gb kwa sh 2000 au 800mb kwa sh 1000
Bonyeza *149*03# kupata hivi vifurushi, kutegemeana na line utapata kifurushi kimoja kati ya hivyo
-Vifurushi vya chuo
Kwa sh 500 utapata mb500, 1500 utapata 1gb na 2500 utapata 2gb zinazodumu wiki nzima, kujiunga piga *149*42#

Airtel
-Vifurushi vya chuo
Hawa jamaa wana vifurushi vizuri zaidi vya chuo hasa cha usiku ambacho unapata 10gb kwa sh 600, pia kipo cha kawaida unapata 2gb kwa 1000 na 1.2gb kwa sh600. Kuvipata unahitaji kununua vocha za chuo zinazopatikana vyuoni au kutumia airtel money *150*60# kisha uchague ofa kabambe nafkiri option ya 6.

Halotel
-Vifurushi vya chuo

Hawa wana kifurushi kizuri cha chuo cha mwezi sh 10,000 unapata 10gb ni kizuri kwa wasiopenda usumbufu wa kuunga unga vifurushi, pia kipo cha wiki sh 500 mb600, kujiunga *148*55#
-Usiku 10g kwa sh 1500
Pia kipo kifurushi cha usiku kwa wale ambao airtel haina speed kwao, kujiunga *148*66# kisha utaenda upande wa internet.

TTCL
-Boom pack (vya chuo)

Kwa shilingi 500 utapata 500MB, shilingi 1500 1gb na shilingi 2500 3gb
pia wana vifurushi vya mwezi kwa sh 1500 utapata 2gb, 3000 utapata 4gb na shilingi 5000 utapata 7GB

kujiunga *148*30#
vifurushi vya usiku
kwa shilingi 1000 utapata gb 10 za 4g kuanIa saa 4 usiku hadi 12 asubuhi, kujiunga ni menu ile ile ya *148*30#.

Smart
-Unlimited bundle
Kwa siku unlimited 1,000 kwa wiki 7,000 na kwa mwezi 20,000 tuma neno DATASIKU au DATAWIKI au DATAMWEZI kwenda 100, vifurushi hivi ni kwa watu walio nje ya dar tu


Vifurushi vya youtube
Zipo website nyingi sana wanahost movie youtube, unaweza jiunga kifurushi cha youtube kisha ukatembelea hizo site na kudownload, sema utahitaji bundle nyengine ya kubrowse na bundle ya youtube ya kudownloadia. vipo kila mtandao.

Kuna kifurushi unaona kinastahili kuwa hapo? usisite kukitaja chini.

Remote
Voda napata 5gb kwa 2000 kwa wiki nzima
 
yap ila piga mahesabu vizuri

masaa 24

-pindua pindua unapata units 1000 kwa 1000

-kawaida unapata mb 500, dakika 55 kwa 500 means kwa 1000 utapata 1GB na dakika 110,

tu reverse dakika 110 na 1GB kwenda units

dakika 110 ni units 110 na 1GB ni units 1000, hivyo jumla units 1110

so zamani ulikuwa unapata kingi na pinduapindua wamepunguza vifurushi, ila kijanja.


Doh yaan maeneo ya mtongani 4g ya TTCL ndo iko hvi
IMG_20171013_151252.jpg
 
Mkuu anaetaka laini za chuo ninazo bei maelewano na umbali
 
Back
Top Bottom